Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Hoja yako inakuja .
Ila maoni yangu nataka nijue umeandika uzi huu ukiwa na hasira au umekosa cha kuleta kwenye jukwaa umeona majina kwani majina yamekuwaje.. je huyo magufuri angekuwa ndugu yako ungesema? Tafuta hela kijana hoja yako sio ya kuchenga majina yapo sehemu nyingi sio Tanzania tu. Ata hivyo mbona kuna mitaa iko na majina ya viongozi hiyo imekaaje.
Mfano. Mtaa wa Tibaijuka kwani tibaijuka anakaa pale.....📌
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Endelea kuomba kuwasilisha
 
Corona haikumuua Magufuli.

Magufuli aliondolewa na mafisadi wa CCM ili waigawane nchi vizuri kabla hajapatikana Magufuli mwingine.
Hizo ni propaganda tu, kuamini kwake ushirikina badala ya science ndicho kilichomwondoa. Kama ni Corona, mtu au chochote kile kilichoshiriki kulikomboa taifa letu basi pongezi kwake.
 
Hizo ni propaganda tu, kuamini kwake ushirikina badala ya science ndicho kilichomwondoa. Kama ni Corona, mtu au chochote kile kilichoshiriki kulikomboa taifa letu basi pongezi kwake.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
JF Kennedy International Airport
Jomo Kenyatta ....
Oliver Tambo

.
.
.

..
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Umemlenga Nani??
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Nikiwaambia Chadema wote mmejaa udongo vichwani mbabisha!.
Ni nchi gani uliyoitembelea wewe unayejiita Erythrocyte
Ambako umekuta hakuna majina ya viongozi kwenye Nembo za mitaa na viwanja au majengo ya Umma!

George Washington international Airport.
Francois Mittrerald University
Jommo Kenyatta University


Kwa hiyo mifano michache tu...
Inakuacha uchi na ujinga wako wewe Erythrocyte na genge lenu la Hai!

Shame on all of you......

Magufuli Terminal itabaki hivyo na mtapandia hapo mabadi miaka yote kwenda kwenu.

Hutaki jinyonge!
 
Huyu mleta post,ni mtu mwenye shida ya afya ya akili,post zake zoote ni za kijinga na kibaradhuri, siku zoote yeye adui yake ni magufuli,toka ametumbuliwa ana hasira
 
Mfugale anastahiki,kasanifu zaidi ya madaraja 1000 nchi hii
Kwani hakulipwa mshahara? Hii nadharia siyo sahihi kabisa. Kwanza CEO wa TANROADS wala Hana muda wa kufanya hizo nitty gritty za ku design madaraja. Yeye aki design je head of departments na Maofisa walio chini yake wanafanya kazi gani? Acheni kutukuza ujinga
 
Kwani hakulipwa mshahara? Hii nadharia siyo sahihi kabisa. Kwanza CEO wa TANROADS wala Hana muda wa kufanya hizo nitty gritty za ku design madaraja. Yeye aki design je head of departments na Maofisa walio chini yake wanafanya kazi gani? Acheni kutukuza ujinga
Acha kuongea Kama mpumbavu,ku-design madaraja zaidi ya 1000 hajafanya akiwa CEO Kama ulivyoandika,alianza chini,ni suala alilofanya kwa kipindi chote Cha ajira,kwa akili yako ndogo mtu Kama huyo hata akiwa CEO utamuacha kwenye ku- design!?..unapoumwa hoi bin taabani,ukaenda hospital na daktari akaokoa maisha yako, unadhani mshahara wake ni kipimo Cha Jambo alilokutendea!?
 
Kwani hakulipwa mshahara? Hii nadharia siyo sahihi kabisa. Kwanza CEO wa TANROADS wala Hana muda wa kufanya hizo nitty gritty za ku design madaraja. Yeye aki design je head of departments na Maofisa walio chini yake wanafanya kazi gani? Acheni kutukuza ujinga
Eti kwani hakulipwa Mshahara? Kwani wanaolipwa mishahara hawapati Gratitude? Awards? Certificates? Recommendations?

Umeuliza swali la kijinga kama Mtu asiye na elimu kabisa

Mtu anapofanya jambo kubwa la kitaifa anastahiki sifa njema na hata kukumbukwa kwa namna yoyote hata kupitia kurithiwa majina yake

Ingeitwa Einstein Bridge msingelalamika si bure
 
Eti kwani hakulipwa Mshahara? Kwani wanaolipwa mishahara hawapati Gratitude? Awards? Certificates? Recommendations?

Umeuliza swali la kijinga kama Mtu asiye na elimu kabisa

Mtu anapofanya jambo kubwa la kitaifa anastahiki sifa njema na hata kukumbukwa kwa namna yoyote hata kupitia kurithiwa majina yake

Ingeitwa Einstein Bridge msingelalamika si bure
huna hoja
 
Nahitimisha kwa kusema leo haikuwa siku nzuri kwako Erythrocyte
Naomba upunguze mihemko ya kipuuzi.

Watu humu wengi ni waelewa wa mambo kwa kiwango ambacho wewe hukidhanii.

Usi-underate watu kwenye social platforms [emoji92]

Tena ambako hata majina yao na pure identity zao huzijui.

Jaribu kuwaza nje ya boxi la mtaa wa ufipa!

Erythrocyte .....

....Next time leta mada zenye akili,watu wata kusapoti.
Ukileta za kijinga na kipumvavu kama hii,yatakupata kama yaliyokupata leo.


Kama haya yalivyompata bosi wako Lema jana huko Twitter.
[emoji116]
Screenshot_20230219-235345_Twitter.jpg
Screenshot_20230219-235413_Twitter.jpg
Screenshot_20230219-235454_Twitter.jpg
Screenshot_20230219-235532_Twitter.jpg


Rafiki Erythrocyte ...

Alamsikhi.
 
Pendekezo la Chadema.
People rally around a leader. Fikiria Spartacus,aliyeongoza mgomo was watumwa dhidi ya Rome.
 
Back
Top Bottom