Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Yani chadema sasa hivi kumejaa ujinga uliopitiliza. Eti huyo ni msemaji wa chama hapa jukwaani!
Kukosa exposure nako ni janga la taifa. Huko marekani waliko na JFK International Airport nako utaenda kuwaabia wabadilishe jina? Huko France waliko na Charles De Gaulle International Airport nako utaenda kuwaambia wafute jina? Au uanzie hapa jirani kwa Jomo Kenyatta International Airport!
Chadema iwe inawapeleka japo kwenye ziara fupi fupi nje ya nchi mkapate exposure.
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Kumbuka hao unaowasema ni waporaji maarufu waliopora viwanja vya mpira vyote Tanzania, hivyo wameendelea kwa kupachika majina yao angalau waone nayo wamepora.
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Nchi inafika mahala pengi ina majina ya wanasiasa na watu wa CCM.

Tuendelee kujizatiti kupitia kura zetu kuondoa haya mazonge.
 
Uko sahihi... Mtoa post amedhihirisha Ujinga wake....
Post yake imekosa akili kabisa
Badala ya kuweka usahihi wa hoja unavyotakiwa, badala yqke unamshambulia mtoa hoja

Haya ndiyo matokeo ya wananchi wengi kufanywa ndondocha na serikali ya CCM.

Hoja ya Erythrocyte inaenda kutibua nyongo za waliomeza bungo la Taifa.

Mtatapika this tyme
 
Yani chadema sasa hivi kumejaa ujinga uliopitiliza. Eti huyo ni msemaji wa chama hapa jukwaani!
Kukosa exposure nako ni janga la taifa. Huko marekani waliko na JFK International Airport nako utaenda kuwaabia wabadilishe jina? Huko France waliko na Charles De Gaulle International Airport nako utaenda kuwaambia wafute jina? Au uanzie hapa jirani kwa Jomo Kenyatta International Airport!
Chadema iwe inawapeleka japo kwenye ziara fupi fupi nje ya nchi mkapate exposure.
Usifananishe viongozi wenu na wale , mkileta ujinga tutafumua uchafu wao zaidi uone kama wanafaa hata kutajwa popote
 
Kumbuka hao unaowasema ni waporaji maarufu waliopora viwanja vya mpira vyote Tanzania, hivyo wameendelea kwa kupachika majina yao angalau waone nayo wamepora.
Msingi wa hoja yangu ndio huo haswa yaani
 
Ni kweli kabisa tutakuwa na nchi ambayo kila mtaa ni majina ya wanasiasa.
Mfano mzuri.
Kuna mkoa ambao hauna barabara au mtaa wa SAMIA? Hebu tujiulize bila kuegemea upande wowote wa kisiasa.
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
huwa ninajiuliza ingeitwa Mbezi Regional Bus Stand, Ubungo Interchange, Tazara flyover, Dar es Salaam National stadium, Rufiji Basin HydroPower Plant.....nini kingepunguka?

Shule za sekondary nazo zipo nyingi zina majina yao.....nimeshangaa Tanga kuna January Makamba Secondary school.

viongozi wa Tanzania wanapenda kuabudiwa sana
 
Majina ya miradi inaweza kuwa ya watu lakini sio lazima wawe viongozi WA juu Bali mwanamchi yoyote mwenye mchango uliotukuka kwenye fani au mradi husika au hata shujaa aliyefanya kitu cha kishujaa mf. Uwanja WA mwanza inaweza kuitwa Majaliwa international airport ie majaliwa yule aliyekoa watu kwenye ajali ya ndege.
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
"We are all equal before the law,but there are others who are more equal than others"
Mkuu umewahi kutoka nje ya nchi ukaona aya mambo ya kuweka majina kwenye miundombinu ya umma hayapo?
Ukiona jina la mtu kwenye miundombinu ya umma, fuatilia historia ya mchango wake kwa taifa lake,ayawekwi tu na ndiyo maana jina la Mzee wako halijawekwa kwasababu mchango wake kwa taifa ni mdogo au hana kabisa.
Najua unazunguka ila hutaki kuona Stendi ya Mbezi ikiitwa Magufuli na Daraja la Ubungo likiitwa Kijazi na lile la Buguruni likiitwa Mfugale.(Hao ni mabingwa wa Ujenzi wa miundombinu nchi hii).
Hutaki,hamia Burundi
 
Ok sawa, haya taja mtu mmoja mwenye kujielewa ambaye alimkubali huyo shujaa wenu.
Na wale walikuwa wamefurika uwanjani siku ya msiba wake ni mbu siyo watu?.Kwani wewe usipomkubali JPM basi ni lazima na watu wote wasimkubali!
 
Back
Top Bottom