Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

letamajina yako matatu tukayaweke pale..weejamaa nikum sana magu anapaswa kuheshimiwa Mana sizani Kama Kuna mtu angefikiria kujenga stend pale ila mwamba mdamchache kajenga nakitu kimesimama. nasema kummmmmmk..
Watu wasio na akili au so called wanyonge ndiyo walikuwa wafuasi wake, ambao hawawezi tumia akili zao. Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu mwenye akili timamu na anayejielewa anaweza kumkubali huyo shujaa wenu, kama unabisha weka mfano wa mtu hata mmoja tu
 

Hata Hilo jina la mbezi Luis ni la mtu
 
weeni mjinga....pita hivi👈nisije kuku mind bureee.mchumba wee
 
Eti soko la jobo ndangayeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asante kwa kuwakilisha, ni haki yako kusema lakini hilo jina halitaondolewa ng'o. Sahau kabisa!!!
 
weeni mjinga....pita hivi[emoji118]nisije kuku mind bureee.mchumba wee
Nimesema weka jina la mtu mtu mmoja tu anayejielewa ambaye aliwahi mkubali huyo shujaa wenu. Wewe unaishia kujificha kwenye matusi. Hakuna hata mmoja zaidi ya watu kama wewe
 
Wewe na wachumia tumbo wenzio ndio naendelea kusema inchi hii ni masikini, mwenzio leo ACT amekubali
 
Huu uzi unaweza kuwa mtego wa kukusanya Sukuma gang members
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38] Una macho makali sana ! Walishakusanyika tayari , unajua ukitaka panya wakurupuke kutoka kichakani , piga kiberiti hicho kichaka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…