Nakuelewa🙏My point is; wao ndio wanaopitisha viwango vya mishahara including viwango vya chini. Kwa kuwa wao ni wawakilishi wa wanyonge, their salaries benchmark should be multiple of the minimum salaries/wages!
Wapimwe kwa hiyo factor ya mvuja jasho wa chini. Understand?
Sasa huyo kijana mbona alijaribu kugombea ubunge huo huo?MAKONDA hakufuta kauli yake..kwamba BUNGENI WANAJADILI UMBEA TU/HAKUNA LOLOTE LA MSINGI WANALOFANYA. KUNA GENGE LA WAHUNI NA WACHUMIA TUMBO TU kwa sauti ya H.Polepole. Nadhani umeongea point sana ila watakuja mbu mbu mbu fulani wabinafsi kupuuzia hoja muhimu hizi
Naongea Kama mlipa mishahara hiyo, yaani MLIPAKODI, MVUJA JASHO!!Kama nani uamue acha watu wale raha
Misri ni Afrika pia.Trump ajengewe sanamu,, Africa a shit hole
Africa inaponzwa na ubinafsi na choyo ,,Misri ni Afrika pia.
Afrika imebarikiwa Kwa Kila kitu, ni kama tu mtoto wa tajiri, ni Wachache Huwa na akili ya utafutaji, sababu Wana Kila kitu.
Trump na wenzie ndio wanaoiba madini ya Africa Kwa kuhonga viongozi wetu.Africa inaponzwa na ubinafsi na choyo ,,
Hivi vitu 2 tukiweza kuvishinda basi Africa itakuwa mbali sn..
Viongozi wetu tuliowaamini na kuwapa mamlaka 90% sio waaminifu na wengi wana sifa hizo nilizozitaja..
--ubinafsi
--choyo.
Mtu mmoja ana mahela chumba kizima na bado anaendelea kuiba pesa za umma,, kwa maslahi yake binafsi .
Pesa zote za kazi gani?
Wakati wengine wanakufa njaa?
Mashule hayana walimu,,
hospital hakuna dawa,,
gharama za maisha zinapanda nk.
Hivi wanaona faraja gani kujilimbikizia mapesa ya umma kwa maslahi binafsi na family zao?.
Kila kukicha wanatengeneza drama mpya mradi tu waweze kukwapua mali za umma na kodi zetu wananchi.
Kweli Trump alikuwa sahihi,, AFRICA A SHIT HOLE.
viongozi wetu Africa kukubali kuhongwa na kuiuza Africa,Trump na wenzie ndio wanaoiba madini ya Africa Kwa kuhonga viongozi wetu.
Akae kimya.
Kwa sasa kitita cha fedha kwa mbunge :
Mshahara wa mbunge ni zaidi ya bilioni moja akitumika miaka 5 (miezi 12 x 5 ) ktk kikokotoo:
Mchanganuo wa mshahara wa miaka mitano wa mbunge ni Bilioni 1 na milioni themanini :
Shilingi 18,000,000 x miezi 12 = 216,000,000
Shilingi 216,000,000 × miaka 5 =1,080,000,000
- Bado hapo pia anapokea allowance za vikao vya bajeti
- Ziara za mafunzo Dubai, India n.k
- Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge PAC, LAAC, Mambo ya Nje na ulinzi usalama n.k
- Marupurupu ya mkopo wa gari n.k
- Bima ya Afya kwa mbunge hospitali VIP Class n.k
- Pensheni ya mkupuo akimaliza ubunge miaka
sahihi kabisa, kwasasa ubunge umekuwa ni sehemu ya kuchukulia pesa za bure kazi hakunaSasa huyo kijana mbona alijaribu kugombea ubunge huo huo?
Muhimu ni waingie wabunge Mahiri.
Waingie wabunge Wachache chini ya 100 Nchi nzima,
Viti maalum vifutwe.
Posho na mishahara iwe chini ya 5ml, anayeona ndogo asigombee ubunge.
Kweli kabisa, nimesema isizidi 5ml,Mbunge unamlipa milioni 5 yote kwa kazi gani kubwa anayofanya?
Milioni 2 tu ilitosha.