Pendekezo: Posho na mshahara wa mbunge, usizidi milioni 5 Kwa mwezi

Upo Sawa kabisa. Ila nani atamfunga huyu paka kengere? Chakula chake anapanga yeye mwenyewe na pia ndiye anayetupangia tule nini, tulipe nini, tufanye nini, tusifanye nini n.k. Yeye kashika mpini wa upanga.
 
Still ume propose pumba ili bidi na wao wairate kama mishahara mingine
 
Ifike wakati tufutilie mbali viti maalum, sijui wabunge wa kuteuliwa. Ili tubane matumizi tujifunge mkanda.
Wabunge walipwe kama wafanyakazi wengine wa serikali hapi tutajua wabunge wa dhamiri ya kweli au wabunge matumbo yao na.masaburi.

Wanakula pesa nyingi sana ya jamhuri bila kazi ya maana huu ni unyonyaji hawalipi kodi hawana elimu wengine ni mahoyahoya tuu .
 
Acha kuchekesha.
Uliona wapi mtu akajipunguzia mshahara?

Ili uweze kupunguza hio mishahara lazima tuwe na katiba mpya ambayo itakuwa na heshima na usawa kwa waalimu mpaka wabunge. Ila kwa katiba hii kuongelea mishahara ya wanasiasa ni kujaza tu server ya Max Melo
 
Sasa Katiba mpya itaandikwa bila mapendekezo na maboresho Toka Kwa wananchi?
 
Mshahara wa katibu tawala sh ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…