Mawazo ya mwanadamu sio mawazo ya Mungu.Mungu upanga kwa wakati wake2025 ipi tena jamani? So tulikubaliana JIWE NI PRESEDENT WA MUYAYA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya mwanadamu sio mawazo ya Mungu.Mungu upanga kwa wakati wake2025 ipi tena jamani? So tulikubaliana JIWE NI PRESEDENT WA MUYAYA?
MAMA SAMIA AENDELEE TU, KAMA AKIKATAA KUENDELEA BASI JANUARY MAKAMBA APEWE MIKOBA. WATU WA KARBA YA JIWE SIO WATU POA KWA MAENDELEO YA WATU. HAO ULIOWATAJA WATATURUDISHA KULEKULE KWAMA ALIVYOKUWA MWENDAZAKE.Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Jafo hapana, hatutaweza kuvumilia hiyo misafara ya wake wanne wa rais.Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Mara mhe.Rais Samia atakapomaliza awamu ya sita ya kutawala nchi yetu; anayefaa kuongoza Tanzania kama Rais wa awamu ya saba ni MHE.DKT.HUSSEIN ALLY MWINYI kutokana uzoefu na kazi kubwa aliyofanya Zanzibar mpaka sasa.Huwa ukawa waziri mkuu then uwe Rais haipo hio,ukishawahi kuwa waziri mkuu cheo chako ndo kimeishia hapo si zaidi ya hapo hata ujaribu vipi utashindwa tu ni hadi lile agano lililofanyika mapangoni livunjwe kitu ambacho nacho sio rahisi hivihivi.
tuliza mshono kijana !! bado tuna kazi kubwa mno ya kusafisha hili jumba lililo hoi kwa uchafu kila kona.Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Hawa huwa na hekima ya uongoziMara mhe.Rais Samia atakapomaliza awamu ya sita ya kutawala nchi yetu; anayefaa kuongoza Tanzania kama Rais wa awamu ya saba ni MHE.DKT.HUSSEIN ALLY MWINYI kutokana uzoefu na kazi kubwa aliyofanya Zanzibar mpaka sasa.