PENDEKEZO: Rais Samia atangaze rasmi tarehe 17 Machi iwe Sikukuu ya kitaifa kumuenzi Hayati Magufuli

Kumbukumbu za viongozi wote wa kitaifa walioaga dunia zingewekwa katika siku moja tu, yaani wote wakumbukwe katika Sikukuu ya Mashujaa. Hakuna haja ya kuwa na utitiri wa sikukuu nyingi katika nchi maskini kama yetu.
 
Kwani Rais kufa akiwa madarakani ni umaarufu?
 
Naunga mkono hoja,ila iwe siku moja tu kuwaenzi viongozi wote,Nyerere,Karume,Sokoine,Mkapa,Magufuli na wengineo
 
Naunga mkono hoja,lkn isiwe siku ya mapumziko,iwe siku ya kufanya kazi sana,na ikiwezekana iwe siku ya kujitolea,
 
Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
Hili ombi lielekeze kwa Mstaafu asiyestaafu
 
Naunga mkono hoja,ila iwe siku moja tu kuwaenzi viongozi wote,Nyerere,Karume,Sokoine,Mkapa,Magufuli na wengineo
 
Kwani Rais kufa akiwa madarakani ni umaarufu?
Kiongozi kufia madarakani Si umaarufu,

Ni suala la kulichukua Kwa uzito wake maana laeza fungua mlango mbaya juu ya nchi.
 
Tukiruhusu kila Rais anayekufa iwe siku ya mapumziko, siku moja tutajikuta Rais anakufa kizembe ili wapate kupumzika bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…