PENDEKEZO: Rais Samia atangaze rasmi tarehe 17 Machi iwe Sikukuu ya kitaifa kumuenzi Hayati Magufuli


Bora umesema kweli, wasipoelewa hawataelewa kamwe.
 
Wewe, mkeo, watoto wako na mabata na kuku uwafugao siku hiyo mkusanyike ukumbini mwenu mle, mnywe na msaze, tayari litakuwa bonge moja la sherehe na litaleta gumzo nadhani mwendazake atakusikia na kukubariki.
 
Siku hiyo atakuwa anazikwa tena na tena. Si unaona Lissu alikuja kumzika tena?. Ni heri isiwepo tu.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Kwa mkapa tusisahau ndio baba wa mageuZi yote unayoyaona baada ya utawala mzee mwinyi ambae alifanya kazi kubwa kuboresha uchumi baada ya vita nk
 
Wanajifanya wanamuenzi Mwalimu lakini mawazo na mafundisho yake yote wameyatia kapuni. Sasa wanafanya vivo hivyo na Hayati JPM. TUACHE UNAFIKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…