econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
𤣠Siku 1 itapunguza nini??
Ita punguza mzunguko wa pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𤣠Siku 1 itapunguza nini??
Itapunguza kufanya kazi.𤣠Siku 1 itapunguza nini??
Sijui ni kwa nini waimba mapambio wengi wa marehemu, hawana akili.
Hata kama kweli angekuwa amefanya mambo makubwa ya maana (mpaka sasa hakuna cha pekee kizuri kikubwa alichofanya ambacho watangulizi wake hawakufanya, ila yapo mabaya mengi ambayo alifanya ambayo watangulizi wake hawakufanya na watakaofuata hawatayafanya), mtu hajiulizi baada miaka 100 au 200 mbele itakuwaje kama kila Rais siku yake ya kufariki itakuwa ni mapumziko. Mkiwa na marais 50 waliofariki, maana yake muwe na siku 50 za mapumziko (ongeza na siku nyingine za mapumziko ambazo zipo), si litakuwa Taifa la wendawazimu?
Hiyo heshima amepewa Mwalimu Nyerere na Karume basi. Hakuna Rais mjinga atakayetangaza siku nyingine ya mapumziko eti kumuenzi marehemu. Watakumbukwa siku zao za kufariki kama ilivyokuwa birthdays zao walipokuwa hai.
Wewe huzuiwi, kutegemeana na mazuri aliyokutendea kama mtu binafsi, unaweza hata mwezi mzima March, kila mwaka ukaufanya uwe mwezi wa mapumziko.
Wewe, mkeo, watoto wako na mabata na kuku uwafugao siku hiyo mkusanyike ukumbini mwenu mle, mnywe na msaze, tayari litakuwa bonge moja la sherehe na litaleta gumzo nadhani mwendazake atakusikia na kukubariki.Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...View attachment 2526364View attachment 2526379
Pungufu ya moja hautakamilisha kumi.𤣠Siku 1 itapunguza nini??
Mafisadi mnajulikana tu š š
Siku hiyo atakuwa anazikwa tena na tena. Si unaona Lissu alikuja kumzika tena?. Ni heri isiwepo tu.Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...View attachment 2526364View attachment 2526379
Unajua gharama ya siku Moja kuwalaza watu majumbani!?𤣠Siku 1 itapunguza nini??
Acha ujinga wewe tumuenzi huyo jamaa kwa lipi?Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...View attachment 2526364View attachment 2526379
VP kuhusu mabaya yake nayo yatengewe siku yake?Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...View attachment 2526364View attachment 2526379
Labda iwe siku ya kulichapa viboko kabri la huyo katiliTunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...View attachment 2526364View attachment 2526379
Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...
View attachment 2526364View attachment 2526379
Hawana muda mrefuMpaka kizazi kilichopo madarakani kwa sasa kiondoke maana wanahisi ni nuksi kwa upigaji
Kwa mkapa tusisahau ndio baba wa mageuZi yote unayoyaona baada ya utawala mzee mwinyi ambae alifanya kazi kubwa kuboresha uchumi baada ya vita nkTunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...
View attachment 2526364View attachment 2526379