Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini Arusha
9823c134-cd98-49af-98a5-969a6cbdb55d.jpeg
 
Unapokuwa umekufa ndiyo mwisho wa kila kitu.

Unapozikwa kaburini ni giza, unaenda nchi ya giza, haina mwanga, mwanga wake ni giza.

Na mwili wako utarudia mavumbini ulikotoka.

Utakumbukwa kwa yale uliyoyafanya mema au mabaya hapa duniani.

Pazia liliishapasuka na baadhi ya miili ya Watakatifu waliishafufuliwa wakati Bwana alipofufuka.

Yes, that's all.
 
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Roho yako itazaliwa kwenye mwili mpya (Reincarnation)
 
Unapokuwa umekufa ndiyo mwisho wa kila kitu.

Unapozikwa kaburini ni giza, unaenda nchi ya giza, haina mwanga, mwanga wake ni giza.

Na mwili wako utarudia mavumbini ulikotoka.

Utakumbukwa kwa yale uliyoyafanya mema au mabaya hapa duniani.

Pazia liliishapasuka na baadhi ya miili ya Watakatifu waliishafufuliwa wakati Bwana alipofufuka.

Yes, that's all.
Mtani kifo ni mwanzo sio mchakato.. Death is a state not a process .. Waliowahi kunusurika kifo wanajua hili.. Huko kifoni ni mbali sana barabara ni ndefu haina mwisho halafu haina watu wala wanyama
 
Unapokuwa umekufa ndiyo mwisho wa kila kitu.

Unapozikwa kaburini ni giza, unaenda nchi ya giza, haina mwanga, mwanga wake ni giza.

Na mwili wako utarudia mavumbini ulikotoka.

Utakumbukwa kwa yale uliyoyafanya mema au mabaya hapa duniani.

Pazia liliishapasuka na baadhi ya miili ya Watakatifu waliishafufuliwa wakati Bwana alipofufuka.

Yes, that's all.
Mtani kifo ni mwanzo sio mchakato
Roho yako itazaliwa kwenye mwili mpya (Reincarnation)
Hii nadharia haikidhi haja ya kitu cha maisha mapya baada ya kifo
 
Unapokuwa umekufa ndiyo mwisho wa kila kitu.

Unapozikwa kaburini ni giza, unaenda nchi ya giza, haina mwanga, mwanga wake ni giza.

Na mwili wako utarudia mavumbini ulikotoka.

Utakumbukwa kwa yale uliyoyafanya mema au mabaya hapa duniani.

Pazia liliishapasuka na baadhi ya miili ya Watakatifu waliishafufuliwa wakati Bwana alipofufuka.

Yes, that's all.
Mtani kifo ni mwanzo sio mchakato
Roho yako itazaliwa kwenye mwili mpya (Reincarnation)
Hii nadharia haikidhi haja ya kitu
 

Attachments

Kifo ni njia ya kuelekea kwenye maisha mengine tusiyoyajua.
Nadharia zipo nyingi ila kwa wanaoamini nadharia kubwa ni kwabwa ukiwa mwana mwema,ukifa nafsi yako huingia kwa kiumbe mwingine hai na kuendelea kuishi,kadhalika ukiwa muovu ukifa nafsi yako huingia kwenye kiumbe/mnyama!
 
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradiso!.
 
Unapokuwa umekufa ndiyo mwisho wa kila kitu.

Unapozikwa kaburini ni giza, unaenda nchi ya giza, haina mwanga, mwanga wake ni giza.

Na mwili wako utarudia mavumbini ulikotoka.

Utakumbukwa kwa yale uliyoyafanya mema au mabaya hapa duniani.

Pazia liliishapasuka na baadhi ya miili ya Watakatifu waliishafufuliwa wakati Bwana alipofufuka.

Yes, that's all.
Wengine hamtafufuliwa mkuu?
 
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradiso!.
Kilikukuta kipi mkuu? Pole sana kwa kumpoteza mama
 
We will all die but anyone who believes Jesus died and rose for the forgiveness of his/her sins will have eternal life.The only condition to eternal life is believing in Jesus alone.
Wote tutakufa lakini yeyote anayemwamini Kristo Yesu kwamba alikufa na kwa kufufuka kwa ajili ya dhambi zake ana tumaini la uzima wa milele hata baada ya kufa atakuwa anaishi.Sharti pekee la kupata uzima wa milele ni kuamini Kristo alikufa kwa ajili yetu ili sisi tupate uzima wa milele.
 
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Hivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
 
Kuna kupumzika kwa amani na kupumzika kusiko kwa amani (walio kundi hili walikufa pasipo siku zao za kufa kufika) na baadhi ya makabila au koo mizimu yao husumbua sana ndugu waliobaki hai kutafuta haki yao, kama kuna utatanishi hufanywa tambiko kabla au baada ya mazishi ili kuumaliza nguvu,

Mshana fanya ulete mada inayozungumzia jinsi ya kuishi na kuzifatisha nguvu za kiroho kwa yale chanya, watu wengi wana hiyo nguvu ila wanaipuuza hawajui kuiishi
 
Back
Top Bottom