Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

Unajidanganya mwenyewe
Ukichukia kufa tafsiri rahisi wew unachukia kuishi.
Maana kifo ni sehemu ya maisha.
Na usipokipenda kwa moyo wako wote unakosa ladha ya kuishi .

Umenikumbusha sana kipindi cha uhai wangu
Vip mkuu? ulipo Kuna jamaa angu mmoja alkufariki 2015 anaitwa Dennis mariki yupo hapo ulipo?
 
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Maadui wakubwa wa sisi binadamu ni wafuatao:
1. Shetani
2. Kifo
3. Sisi wenyewe (watu)

Si maradhi, umaskini wala ujinga!

Hadi sasa ni Yesu pekee aliyewashinda hao maadui watatu: shetani, kifo na watu. Sisi wenyewe hatuwezi kumshinda shetani, kifo au mtu (adui wa mtu ni mtu!).
 
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Ndio
 

Halafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?

Kuna jambo nimelisoma bbc swahili kuhusu marais wa kenya kuzozana na makamu wao wa rais wakiwa madarakani ilhali wakianza harakati zao za kuingia ikulu pamoja, imenishtua sana ujue, tangu kwa mzee Jomo mpaka wa sasa kitu ni hichohicho, hebu ichimbue kiroho hii ni kwanini inakuwa hivyo

Si kwa jirani zetu tu hata kwenye mafamilia hiyo kitu ipo km babu wa babu alifanya jambo fulani basi na vitukuu mtafuata uelekeo huo huo???? Kuna nguvu gani hapo
Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post ya
App ya gen z we njoo kwenye website tu mzee mwenzangu😜
Hahaha
View attachment 3109095
the first day in the grave!!!. daah huwa nikiwaza hii kitu naogopa sanaa, napata wasiwasi mkubwa
Halafu ujue kaburini ni mbali sana ukilala ndani yake na kuangalia juu
 
Mtu akifa ndio imetoka hamna tena kukutana Wala kuishi.. ni chakula cha wadudu na mbolea Kwa miti
Binadamu hua tunapenda kujifariji. Hua tunajipa moyo kwamba kuna lengo fulani la ziada la maisha, kwamba kuna mambo mazuri yanakuja baada ya maisha haya.

Ukweli unabaki kwamba, kama jinsi ambavyo hukuwahi kuwepo, wala kujua chochote kabla ya kuzaliwa, vivyo hivyo hautakuwepo, wala hautajua chochote baada ya kifo.
 
Mkuu,

Mimi sio muamini katika reincarnation, ila ningependa kujua haswa nini hutokea endapo unajikuta katika hali/situation au mazingira ambapo ghafla akili inafunguka na unakumbuka kuwa hapa au hili si jambo linatokea leo kwa mara ya kwanza. Nimekuwepo/nimeliona au kulipitia hili hapo kabla.
Mimi huwa nashtuka tu na kupotezea
 
E
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Ewe kaka angu mshana paragraph ya mwisho umepatia lakini hyo ya mwanzo imejaa nadharia za ungo kama wachangiaji wengi walivyo changia why?, hawa elezei tukio la kufa na hitimisho baada ya kufa, ngoja nikupe mfano mmoja walau upate concept ipi nadharia ya kweli mafundisho ya mtume Muhammad (s.a.w) yana sisitiza kusoma dua unapotaka kulala,ukiamka ghafla usiku na asubuhi pia usingizi ni nusu ya kifo na yeye alitoa nadharia hizi miaka 1500 na leo wataalam wa wa sayansi wamekuja kuyakubali maneno yake baada ya wao kufanya utafiti wa muda mrefu kuhusu vifo vya usingizini, a part from that hakuna kitabu kilocho eleza in deep kuhusu kifo na baada ya kifo isipokuwa Quran kariim, tena imeweka na mifano mingi, maana haya maswali yalisha ulizwa sna na watu wa zama hizo kama ambavyo tunavyo ulizana hapa na ndio maana Allah (s.w) akaweka clearly kupitia mtume Muhammad (s.a.w) , kuhusu kuonana baada ya kufa, tutaonana na wapendwa wetu lakini Kwa Uzito wa siku hyo tutakimbiana, why?, kila mtu analo linalo mshughulisha hvo kila mtu ana haya na huzuni (anaogopa lawama, majukumu ambayo haku tekeleza duniani hvo mtu hato kubali iwe Mtoto,baba,mama au mke), la mwisho hautaji roho mtakatifu (mfano) ili uilewe isipokuwa unahitaji akili tu Ili uilewe Quran kariim
 
Back
Top Bottom