Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

Mi nahisi ni kweli,maana Kuna muda unafanya kitu au kuona Jambo....unahisi kama hicho kitu ulishawahi kufanya kabla au kuona kabla
Mkuu,

Mimi sio muamini katika reincarnation, ila ningependa kujua haswa nini hutokea endapo unajikuta katika hali/situation au mazingira ambapo ghafla akili inafunguka na unakumbuka kuwa hapa au hili si jambo linatokea leo kwa mara ya kwanza. Nimekuwepo/nimeliona au kulipitia hili hapo kabla.
 

Attachments


Hivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Mwili ni kasha la muda liharibikalol
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna si

Duuh mmenikumbusha mbali kipindi cha uhai wangu!!
Nimemiss sana kuishi ila ndio hivyo tena
Mmh
Asante kwa burudani hii nimei download kabisa for future use
Bonus
Utanitag ukiweza nitafurahi sana
Your request is my command
 
Mwili ni kasha la muda liharibikalol



Mmh

Bonus

Your request is my command
Halafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?

Kuna jambo nimelisoma bbc swahili kuhusu marais wa kenya kuzozana na makamu wao wa rais wakiwa madarakani ilhali wakianza harakati zao za kuingia ikulu pamoja, imenishtua sana ujue, tangu kwa mzee Jomo mpaka wa sasa kitu ni hichohicho, hebu ichimbue kiroho hii ni kwanini inakuwa hivyo

Si kwa jirani zetu tu hata kwenye mafamilia hiyo kitu ipo km babu wa babu alifanya jambo fulani basi na vitukuu mtafuata uelekeo huo huo???? Kuna nguvu gani hapo
 

IMG-20240928-WA0002.jpg
 

Halafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?

Kuna jambo nimelisoma bbc swahili kuhusu marais wa kenya kuzozana na makamu wao wa rais wakiwa madarakani ilhali wakianza harakati zao za kuingia ikulu pamoja, imenishtua sana ujue, tangu kwa mzee Jomo mpaka wa sasa kitu ni hichohicho, hebu ichimbue kiroho hii ni kwanini inakuwa hivyo

Si kwa jirani zetu tu hata kwenye mafamilia hiyo kitu ipo km babu wa babu alifanya jambo fulani basi na vitukuu mtafuata uelekeo huo huo???? Kuna nguvu gani hapo
Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post yake.. Hii ni ahadi ya pili.. Sitakuangusha na nitakualika
 
Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post yake.. Hii ni ahadi ya pili.. Sitakuangusha na nitakualika
App ya gen z we njoo kwenye website tu mzee mwenzangu😜
 

Halafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?

Kuna jambo nimelisoma bbc swahili kuhusu marais wa kenya kuzozana na makamu wao wa rais wakiwa madarakani ilhali wakianza harakati zao za kuingia ikulu pamoja, imenishtua sana ujue, tangu kwa mzee Jomo mpaka wa sasa kitu ni hichohicho, hebu ichimbue kiroho hii ni kwanini inakuwa hivyo

Si kwa jirani zetu tu hata kwenye mafamilia hiyo kitu ipo km babu wa babu alifanya jambo fulani basi na vitukuu mtafuata uelekeo huo huo???? Kuna nguvu gani hapo
Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post ya
App ya gen z we njoo kwenye website tu mzee mwenzangu😜
Hahaha
 
Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!

Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa

Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena

Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Nataka nikufungue code leo,mtu akifa roho yake huwa inabaki hewani inaelea na inajua kila kitu, inawaona wapendwa zao na hata kama kuna watu waliidhuruma haki yake inaweza ikafanya mpaka malipizi
Mfano umemuuwa mtu atakuwa anakutokea kila wakati kwenye ndoto kukuulizia kwa nini uliniuwa?
Wakati mwingine kuna wale wanaozulumu mali za marehemu, bado roho za waliozurumiwa huwa zinapambana nao mpaka mwisho, unashaanga nyumba, magari, mashamba yanaishia kuungua bila sababu
Kwa hiyo tukifa hatupote, bali tutakuwepo kiroho zaidi kusubiria siku ya hukumu
 
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradison

Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradiso!.
Tunaweza kuwaombea kama walikua sehem mbaya basi maombi yetu yakawaponya na kuwaweka sehem salama Zaid?
 
Basi tuu Kuna ndg zangu wawili hua nikiwakimbuka najifungia chumbani naliaa afu natoka maisha yanaendelea!
 
Back
Top Bottom