Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
alikuja mama? nielekeze namna ulifanya nna jambo nataka kudiscuss na marehemu mmoja hiviKifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradiso!.
Mimi nafikiri hakuna maisha baada ya kifo.Kuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!
Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa
Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena
Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
🤣🤣🤣🤣🤣Umeanza ongea story za vijiwe vya wakereketwaMtani kifo ni mwanzo sio mchakato.. Death is a state not a process .. Waliowahi kunusurika kifo wanajua hili.. Huko kifoni ni mbali sana barabara ni ndefu haina mwisho halafu haina watu wala wanyama
Mi nahisi ni kweli,maana Kuna muda unafanya kitu au kuona Jambo....unahisi kama hicho kitu ulishawahi kufanya kabla au kuona kablaHii ni kweli?
Mwili ni kasha la muda liharibikaloHivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Mada nzuri sana naahidi nitafanya hivyo rafikiKuna kupumzika kwa amani na kupumzika kusiko kwa amani (walio kundi hili walikufa pasipo siku zao za kufa kufika) na baadhi ya makabila au koo mizimu yao husumbua sana ndugu waliobaki hai kutafuta haki yao, kama kuna utatanishi hufanywa tambiko kabla au baada ya mazishi ili kuumaliza nguvu,
Mshana fanya ulete mada inayozungumzia jinsi ya kuishi na kuzifatisha nguvu za kiroho kwa yale chanya, watu wengi wana hiyo nguvu ila wanaipuuza hawajui kuiishi
Mwili ni kasha la muda liharibikalolHivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna si
Roho ni nishati hai.. Haikuumbwa na haiwezi kuharibiwaMimi nafikiri hakuna maisha baada ya kifo.
Na wala binadamu hana kitu kinachoitwa "roho" ambacho kinaendelea kuishi baada ya kifo.
Huu ni ukweli mchungu.
Binadamu, kama walivyo wanyama wengine, anazaliwa, anaishi na mwisho anakufa na kufutika.
Hakuna kuzaliwa tena, hakuna kukutana na wapendwa, hakuna kwenda mbinguni/motoni, hakuna kufufuka siku ya kiama. Ukifa ndio mwisho wako.
Kabisa uko sahihi,, kuongezea tu marehemu wanatuona na matendo yetu hapa duniani sasa wanapokuja lazima akurekebishe akuonye na akushauri sasa kasheshe marehemu awe alikua mkali mbona utajuta.Kwanza inatisha, waliokufa sio wenzetu tena huwa wanakuja kwa ukali na kwa kuogopesha bora umuote ndotoni sio kumuita aroo
Asante kwa burudani hii nimei download kabisa for future useMwili ni kasha la muda liharibikalol
Alikuja, kukuelekeza siwezi!!! Kuna nyuzi nyingi humu za meditation anza muite discuss nae unachotaka.alikuja mama? nielekeze namna ulifanya nna jambo nataka kudiscuss na marehemu mmoja hivi
kama kuna roho ipo sehemu inasikia, inaona huyo mtu hajafa ni mzimaKifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradiso!.
Nachukia hizi habari za KIFO yaani Kama KIFO kingekuwa mtu hakika ningekiua mimi mwenyewe
Sikujuaa kuwa inachukua nusu ya maisha yako kumsahau mpendwa wako inaumiza sana [emoji24][emoji24]
Umenifanya nime mkumbuka rafikiyangu tuliye soma wote primary school ni miaka 5 imepita tangu aondoke katika uso wa dunia …… katika maisha kuna moment huwa zinatokea nakupita …. Tushukuru MUNGU kwa kila jamboKuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!
Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa
Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena
Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792