Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

alikuja mama? nielekeze namna ulifanya nna jambo nataka kudiscuss na marehemu mmoja hivi
 
Nimejifananisha na huyo mtoto. Imagine Huyo Mama Akija Kufariki Huyo Mtoto Itakuwaje?! Aliyeimba Kifooo Kifoo Kifo Hakina Huruma Alikuwa Sahihi 100/- R.I.P Father & Mother
 
Mimi nafikiri hakuna maisha baada ya kifo.

Na wala binadamu hana kitu kinachoitwa "roho" ambacho kinaendelea kuishi baada ya kifo.

Huu ni ukweli mchungu.

Binadamu, kama walivyo wanyama wengine, anazaliwa, anaishi na mwisho anakufa na kufutika.

Hakuna kuzaliwa tena, hakuna kukutana na wapendwa, hakuna kwenda mbinguni/motoni, hakuna kufufuka siku ya kiama. Ukifa ndio mwisho wako.
 
Surat Kafirun
"Lakum deenukum waliya deeni"

Mtume aliwaambia makafiri ...."Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu"

Kwenye hili suala la kifo ni fumbo ambalo utatuzi wake upo kwenye imani zetu za dini

Mfano mimi naamini tutakufa na kuzikwa kwa muda usiojulikana kisha siku ya Qiyama ambapo Allah atatufufua kwa ajili ya hesabu na hukumu ndio maana ikaitwa judgement day >> when Allah will decide how people will spend their afterlife.

Ila kwa upande wa pili wao wanaweza wasiamini kwamba tutafufuliwa baada ya kufa, wanaweza wakaamini kwamba mtu akishakufa anaenda kwenye pumziko la milele.....
 
Ukitaka usiwaze sana mambo ya nini kitatokea baada ya kifo, hakikisha Kwa kadri unavyoweza, hauhusiki na kifo Cha mtu yeyote.

Pili, kadri upatapo nafasi, tenda wema, usiumize wengine.

Mwisho, usikabidhi mtu mwingine jukumu la furaha yako, usiwaze kabisa delegation kwenye hili jambo.

Pambana sana kwenye jitihada za kuwa na maisha bora bila kupoteza furaha yako kwenye mchakato.

Tulikuja bila kitu, tutaondoka bila kitu vile vile.

Hayo ya huko mbele au nini kitatokea tukifa, yatajipanga yenyewe.
 
Mtani kifo ni mwanzo sio mchakato.. Death is a state not a process .. Waliowahi kunusurika kifo wanajua hili.. Huko kifoni ni mbali sana barabara ni ndefu haina mwisho halafu haina watu wala wanyama
🤣🤣🤣🤣🤣Umeanza ongea story za vijiwe vya wakereketwa
 

Hivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Mwili ni kasha la muda liharibikalo
Mada nzuri sana naahidi nitafanya hivyo rafiki
 

Hivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Mwili ni kasha la muda liharibikalol
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna si

Roho ni nishati hai.. Haikuumbwa na haiwezi kuharibiwa
 

Attachments

Nachukia hizi habari za KIFO yaani Kama KIFO kingekuwa mtu hakika ningekiua mimi mwenyewe

Sikujuaa kuwa inachukua nusu ya maisha yako kumsahau mpendwa wako inaumiza sana [emoji24][emoji24]

Wewe KIFO wewe umelaaniwa sanaaa
 
Kwanza inatisha, waliokufa sio wenzetu tena huwa wanakuja kwa ukali na kwa kuogopesha bora umuote ndotoni sio kumuita aroo
Kabisa uko sahihi,, kuongezea tu marehemu wanatuona na matendo yetu hapa duniani sasa wanapokuja lazima akurekebishe akuonye na akushauri sasa kasheshe marehemu awe alikua mkali mbona utajuta.
 
kama kuna roho ipo sehemu inasikia, inaona huyo mtu hajafa ni mzima

Mhubiri 9:5​

Maana, walio hai hujua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote. Hawana tuzo tena; hata kumbukumbu lao limesahauliwa kabisa.
 
Duuh mmenikumbusha mbali kipindi cha uhai wangu!!
Nimemiss sana kuishi ila ndio hivyo tena
 
Unajidanganya mwenyewe
Ukichukia kufa tafsiri rahisi wew unachukia kuishi.
Maana kifo ni sehemu ya maisha.
Na usipokipenda kwa moyo wako wote unakosa ladha ya kuishi .

Umenikumbusha sana kipindi cha uhai wangu

Nachukia hizi habari za KIFO yaani Kama KIFO kingekuwa mtu hakika ningekiua mimi mwenyewe

Sikujuaa kuwa inachukua nusu ya maisha yako kumsahau mpendwa wako inaumiza sana [emoji24][emoji24]
 
Umenifanya nime mkumbuka rafikiyangu tuliye soma wote primary school ni miaka 5 imepita tangu aondoke katika uso wa dunia …… katika maisha kuna moment huwa zinatokea nakupita …. Tushukuru MUNGU kwa kila jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…