Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
kama ni hivyo basi ni raha, maisha na kuishi kuna raha yake.Mi nahisi ni kweli,maana Kuna muda unafanya kitu au kuona Jambo....unahisi kama hicho kitu ulishawahi kufanya kabla au kuona kabla
InakuajeKimbele mbele cha kuongea na marehemu halafu mazungumzo yanakua tofauti na ulivyotaka yawe
Utanitag ukiweza nitafurahi sanaMwili ni kasha la muda liharibikalo
Mada nzuri sana naahidi nitafanya hivyo rafiki
Mkuu,Mi nahisi ni kweli,maana Kuna muda unafanya kitu au kuona Jambo....unahisi kama hicho kitu ulishawahi kufanya kabla au kuona kabla
Mwili ni kasha la muda liharibikalolHivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna si
Mmh🥺🥺🥺Duuh mmenikumbusha mbali kipindi cha uhai wangu!!
Nimemiss sana kuishi ila ndio hivyo tena
Mwili ni kasha la muda liharibikalolHivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna si
MmhDuuh mmenikumbusha mbali kipindi cha uhai wangu!!
Nimemiss sana kuishi ila ndio hivyo tena
BonusAsante kwa burudani hii nimei download kabisa for future use
Mwili ni kasha la muda liharibikalolHivi undugu ni jambo la limwili ama la karoho?
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna si
MmhDuuh mmenikumbusha mbali kipindi cha uhai wangu!!
Nimemiss sana kuishi ila ndio hivyo tena
BonusAsante kwa burudani hii nimei download kabisa for future use
Your request is my commandUtanitag ukiweza nitafurahi sana
Halafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?Mwili ni kasha la muda liharibikalol
Mmh
Bonus
Your request is my command
Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post yake.. Hii ni ahadi ya pili.. Sitakuangusha na nitakualikaHalafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?
Kuna jambo nimelisoma bbc swahili kuhusu marais wa kenya kuzozana na makamu wao wa rais wakiwa madarakani ilhali wakianza harakati zao za kuingia ikulu pamoja, imenishtua sana ujue, tangu kwa mzee Jomo mpaka wa sasa kitu ni hichohicho, hebu ichimbue kiroho hii ni kwanini inakuwa hivyo
Si kwa jirani zetu tu hata kwenye mafamilia hiyo kitu ipo km babu wa babu alifanya jambo fulani basi na vitukuu mtafuata uelekeo huo huo???? Kuna nguvu gani hapo
App ya gen z we njoo kwenye website tu mzee mwenzangu😜Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post yake.. Hii ni ahadi ya pili.. Sitakuangusha na nitakualika
Hii app ngeni hata mimi inanitoa ushamba.. Hilo la malumbano naomba nilijibu kwenye post yaHalafu mshana kwanini ukiniquote sipati notification?
Kuna jambo nimelisoma bbc swahili kuhusu marais wa kenya kuzozana na makamu wao wa rais wakiwa madarakani ilhali wakianza harakati zao za kuingia ikulu pamoja, imenishtua sana ujue, tangu kwa mzee Jomo mpaka wa sasa kitu ni hichohicho, hebu ichimbue kiroho hii ni kwanini inakuwa hivyo
Si kwa jirani zetu tu hata kwenye mafamilia hiyo kitu ipo km babu wa babu alifanya jambo fulani basi na vitukuu mtafuata uelekeo huo huo???? Kuna nguvu gani hapo
HahahaApp ya gen z we njoo kwenye website tu mzee mwenzangu😜
Nataka nikufungue code leo,mtu akifa roho yake huwa inabaki hewani inaelea na inajua kila kitu, inawaona wapendwa zao na hata kama kuna watu waliidhuruma haki yake inaweza ikafanya mpaka malipiziKuna siri kubwa sana kwenye kifo.. Kifo ni fumbo lisilo na majibu mpaka leo hii
M'miss mtu aliye hai lakini yuko mbali nawe! Huyu mnaweza kuja kuonana lakini sio mfu.. Ambapo kwa baadhi ya imani tutakuja kuonana nao huko huu mbinguni siku ya kiama..tena si katika mwili huu wa damu tena!
Hakuna hapa ambaye hajawahi kufiwa.. Kifo kinauma sana! Kifo ni kichungu kwa wale wapendwa wetu waliotuacha wakati bado tunawahitaji sana
Wazazi
Kaka/dada
Mjomba/shangazi
Mume/mke
Watoto ndugu na jamaa
Unabaki na wengine ambao hawatoshi kuvaa viatu vyao.. Kuna wakati unajikuta unawakumbuka mpaka unakosa pozi.. Sometimes hata usingizi hupati
Unazikumbuka zile nyakati za furaha
Nyakati za upendo mkuu
Nyakati uliposhikwa mkono na kupata nguvu mpya na tumaini jipya wakati ulishakata tamaa na kuona maisha hayana maana tena!
Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena
Tumeumbiwa kifo na hatujui siku wala saa ya kuachana milele na wapendwa wetu.. Tunao muda mchache wa kukaa nao
Hivyo basi
Tuwapende sana
Tuwasaidie sana
Tuwape kila faraja wanayostahili
Tuwape furaha na mambo mengine yote mema mazuri na bora kabla hatujaachana nao milele
Tuombeane mwisho mwema na maisha mengi mazuri
Jr™
Safarini ArushaView attachment 3107792
Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradison
Tunaweza kuwaombea kama walikua sehem mbaya basi maombi yetu yakawaponya na kuwaweka sehem salama Zaid?Kifo kinatuachia majonzi makubwa ni maumivu. Nimejariwa uwezo flani kuna siku uchungu ulinikaba sana nikasema hapana kwa kipawa hiki nakitumia kumuita mama yangu mzazi niongee nae japo nisikie sauti...... Kilichonikuta marehemu wetu nao roho zao zinawauma kwa yanayoendelea duniani na yanayotutokea. Tuwaombee sana marehemu roho zao zipumzike kwa amani na kama kuna uwezekano tuungane nao siku moja paradiso!.
Ni kweli kabisaTunaweza kuwaombea kama walikua sehem mbaya basi maombi yetu yakawaponya na kuwaweka sehem salama Zaid?
NnliiiiiiikMtani kifo ni mwanzo sio mchakato.. Death is a state not a process .. Waliowahi kunusurika kifo wanajua hili.. Huko kifoni ni mbali sana barabara ni ndefu haina mwisho halafu haina watu wala wanyama
https://www.facebook.com/Pengine hayo maisha yatarudi tena
Pengine uchungu mkubwa ule utatoweka milele
Hakuna ndoto mbaya kama nyota uko na mpendwa wako aliyekeisha fariki halafu unashtuka na kujikuta uko pekeyako kitandani hayupo na huwezi kumuona tena