Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

Bi Chura ametoa pole akiwa angani.

Mkuu.
Hatuna serikali. Tuna kikundi cha watu wasiojali thamani ya maisha ya watu
Kifo ni kifo tuupe na majanga ni majanga tuu.. Haviwezi kuzuia ratiba muhimu😭
 
Mbona huyu mjinga anayeitwa Chalamila tayari amewahi sehemu ya tukio na kutoa hotuba ya kijinga kabisa huku akimtaja ''mama''? Hawa hawana aibu hawa. Kwenye eneo lenye janga unakwenda kutoa hotuba badala ya waokoaji kuwahi? Nchi yetu ni kama imejaa nyumbu yote.
Nadhani si mjinga tuu bali ni MtC..
 
Hahaha kwenye hili msimseme MAMA yuko safarini, tuwaseme aliowaachia majukumu. Hawezi kujigawa kwenye kila kitu. Na hata kama angekuwepo labda asingeingia kuokoa majeruhi, wangekuwepo hawahawa waliopo leo. Tulilie mpangilio mzuri ku deal na majanga yanapotokea.
 
Hahaha kwenye hili msimseme MAMA yuko safarini, tuwaseme aliowaachia majukumu. Hawezi kujigawa kwenye kila kitu. Na hata kama angekuwepo labda asingeingia kuokoa majeruhi, wangekuwepo hawahawa waliopo leo. Tulilie mpangilio mzuri ku deal na majanga yanapotokea.
 
Nimeona ni hatari sana. Tunahitaji coordination nzuri, na vifaa pia, kuokoa kwa mikono hii inaweza isiwe uokoaji bali kuua,kwa kuwazika wakiwa hai.
Sahihi kabisa
 
Niliona pole ya Mheshimiwa huku akiwa on the way, sikushangaa nikajua labda she's not well.

Pole sana kwa ajili ya King Kiki.

Pole nyingi sana wahanga wa Kariakoo kwa kupoteza watu na mali.

Pole Mshana Jr
 
Juzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?

Leo tumepata janga pale Kariakoo baada ya jengo moja la ghorofa kuporomoka na kufukia watu wengi.

Shughuli ya uokozi bado inaendelea, lakini imeshathibitika kuna marehemu, majreruhi na manusura
Mpaka adhuhuri ni CHADEMA waliokuwa wametoa pole.. Hapa hakuna lawama kwakuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ni uokozi

Chondechonde tunawaomba this time muone haya.. Muone aibu.. Msije mkalitumia janga hili kkisiasa
Tutataka kuona picha za wahanga wa tukio husika na si mapichapicha kama lile alilobebeshwa mchungaji na marangi yasiyoeleweka

Ifike mahali tuwe na tafakuri ya kafanya nini, lipi na wapi.

View attachment 3153908
Hayawani hawana aibu na hawajui vibaya
 

Attachments

  • FB_IMG_1644236040854.jpg
    FB_IMG_1644236040854.jpg
    15.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1616545580714.jpg
    FB_IMG_1616545580714.jpg
    90.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1570958487510.jpg
    FB_IMG_1570958487510.jpg
    9.8 KB · Views: 1
  • JamiiForums2012770947.png
    JamiiForums2012770947.png
    68.8 KB · Views: 1
Niliona pole ya Mheshimiwa huku akiwa on the way, sikushangaa nikajua labda she's not well.

Pole sana kwa ajili ya King Kiki.

Pole nyingi sana wahanga wa Kariakoo kwa kupoteza watu na mali.

Pole Mshana Jr
Asante sana mtani wangu

Hawa Ni Baadhi Ya Rafiki Zetu Waliotangulia Mbele Ya Haki Kwenye Ajali Ya Kuporomoka Kwa Ghorofa Leo Asubuhi.
"Kwaherini Wanetu Tunaonana Tena Baadae🙏💔🕊
20241117_062250.jpg
 
Juzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?

Leo tumepata janga pale Kariakoo baada ya jengo moja la ghorofa kuporomoka na kufukia watu wengi.

Shughuli ya uokozi bado inaendelea, lakini imeshathibitika kuna marehemu, majreruhi na manusura
Mpaka adhuhuri ni CHADEMA waliokuwa wametoa pole.. Hapa hakuna lawama kwakuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ni uokozi

Chondechonde tunawaomba this time muone haya.. Muone aibu.. Msije mkalitumia janga hili kkisiasa
Tutataka kuona picha za wahanga wa tukio husika na si mapichapicha kama lile alilobebeshwa mchungaji na marangi yasiyoeleweka

Ifike mahali tuwe na tafakuri ya kafanya nini, lipi na wapi.

View attachment 3153908
Chadema kuweni na utu acheni kutumia majanga na misiba ya watu kujinufaisha kisiasa
 
Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda.
Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunapofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k

Kama CCM wanafanya propaganda kwenye misiba, Chadema fanyeni propaganda kwenye ukabila, ACT fanyeni propaganda kwenye unafiki, CUF fanyeni propaganda kwenye udini n.k

Sisi wananchi tutachagua tunahitaji nini kwa mustakabali wetu na maendeleo yetu.
Unapozidiwa propaganda usichukie na kuanza lalamika bali na wewe fanya propaganda zaidi na zaidi kuliko mwingine yeyote unaeshindana nae kwenye siasa.
Ukiwa COMMON MAN Moja kwa moja unakua kwenye group la NYUMBU ni mwendo wa kuswagwa huku na kule..
 
Back
Top Bottom