Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Kwa hilo andiko lako umepotosha japo sijasoma lote nimeishia pale uliposema eti shetani alikuwa kama "waziri mkuu kwenye serikali ya Mbinguni"

Mnamuongezea sifa za kijinga na kumpamba bila sababu. Hakuna sehemu kwenye Biblia inasema kuwa shetani alikuwa nani au "kiongozi wa malaika kama wengi wanavyoamini na kufundisha" hata kama sijasoma andiko lako lote naamini kwa sentensi hiyo hapo juu unamaanisha hivyo. Yeye alikuwa kerubi kama makerubi wengine mkuu na kusema ana mamlaka ndio maana alikaa na kupiga story na Yesu kule jangwani kwa simu 40 pia ni uongo. Biblia inaeleza Yesu alifunga siku 40 jangwani na aliposikia njaa yaani siku ya mwisho ndipo Ibilisi alikuja kumjaribu pitia chakula na sio kama alikuwa anapiga naye story hizo siku 40.

Infact, nje ya mada yako. Je unamjua mzee Sweya Makungu Mstaafu mmoja hivi kule Iringa?
Mkuu naomba na mm nitie neno hapa.
Ungesoma mpaka mwisho nadhan ungeandika tofauti.
Katka uandishi au usimulizi huwez andika au kusinulia kama kilivyoandikwa sehemu.
Mwandishi kuandika kiwa shetan alikuwa na nguvu kama waziri mkuu nadhan hajamaanisha shetani alikuwa waziri mkuu ila anajaribu kuonesha nguvu na madaraka alokuwa nayo shetani.
Kama ntakuwa nipo kinyume na mtoa mada atanisahihisha pia wewe

Pili kule jangwani shetani alikuwa na Yesu na hata alipomchukua hadi kwenye kinara na kumwonesha zile milka na akamwambia ukinisujudia milki yote na vyote nitakupa.

Ukisoma ayubu unaona shetan alikuwa anazunguka zunguka duniani na aliweza kuwa na hata na famlia ya ayubu na akaijua vyema na alipokuwa na Mungu aliweza kujibu swali la Mungu. Hasa alipoulizwa kama amemona mtumishi wake Ayubu.

Kiufup maandiko n meng ila tujitahid kuyasoma na kuyaelewa na kuyaishi.
Sisi sote ni wa Mungu na tunatamani kurudi kwake salama. Kama kunamakosa ya kiuandishi na kimitizamo hayo n ya kawaida katika neno la Mungu.
 
Code hatari saana ila ipo wazi saana,
Ndugu yangu nilipoanza kupata hofu kwenye maisha yangu nilipopata ufahamu kwenye kisa cha Ayubu....

Kili nifanye nijawe na hofu kila nikikisoma kile kisa wakati mwingine hadi machozi, unajua kwann??

Nilijiuliza mtu ka Ayubu aliyemkamilifu aliweza kupitia MATESO MATESO MATESO NA MAGUMU MAGUMU MAGUMU NA MAUMIVU KIASI KILE kisa tuu ni kwa ajili ya mahojiano ya Mungu na shetani, tena Mungu ndo anamshtu shetani maana shetani hakua hata na habari na Ayubu...

Mungu akaruhusu yote hayo!!!!!!! Mi nabaki speechless namuomba aniongoze mwenyewe nguvu zishaniishia sijiwezi kabisaaaa.... na napitia magumu saana kwaajili ya hili.
Mungu alitaka kumwonesha shetani kuwa na mm nina watu katika nchi ile. Sasa tujiulize Mungu akitaka kumwonesha shetan kuwa mm na weww ni watu wakamilifu tutamwaibisha au tutamwakilisha vyemaa? Mungu atutie nguvu na rehema zake.
Sitamani hayo majaribu naomba Mungu asiniache maana sijui itakuwaje
 
Mungu alitaka kumwonesha shetani kuwa na mm nina watu katika nchi ile. Sasa tujiulize Mungu akitaka kumwonesha shetan kuwa mm na weww ni watu wakamilifu tutamwaibisha au tutamwakilisha vyemaa? Mungu atutie nguvu na rehema zake.
Sitamani hayo majaribu naomba Mungu asiniache maana sijui itakuwaje
Bro mi nimeonjeshwa nukta ndogo tu ya unga wa ngano kwa alichopitia Ayubu nimechemka saa hii natafuta sehemu nilipoipoteza imani yangu ya mwanzano kwa Mungu
 
Mkuu andiko lako ni ziri mno mno na nimependa maana umeandika mengi yaliyo na uhalisia
Mungu na akasema tumuumbe mtu kwa mfano wetu. Hii n kumaanisha sisi tunauwezo wa Kiingu,yan tunaumba kwa kinywa. Na shetani analifahamu hilo ila anatuchanganya na kutufanya tujiumbie mabaya . Mfano tunaitana mbwa.paka na majina mengne mabaya ambayo yanaenda kutukaa.

Shetani anatushika na kutuzui tusimtolee Mungu sadaka iliyo safi na nzuri ndo maana leo hii mtumishi wa Mungu akisiamma na kutoa somo kuhusu kutoa sadaka vita vinainuka.

Tunaomba pasipo kuambatanisha maombi yetu na sadaka,hatushukuru baada ya kujibiwa sasa hizi ndizo mbinu shetani anatumi ili kutudidimiza, na shetani atatafuta mawakala wake na kuwajengea hali ya kuelezea sadaka namna inawafaidisha watu wa Mungu na watu wataamin. Hii inajenga gap kati ya wanadamu na Mungu. Sadaka shetan mwenyewe anaiogopa kutokana na nguvu yake kwahyo sadaka anaipinga kuliko kawaida

Kitu nilochojifunza kihusu sadaka. Kwa shetani watu wanafanikiwa sana maana sadaka zao ni kubwa sana mfano mtu anamtoa kafara mzazi wake ili awe tajiri. Mtu anaua gar nzima ili awe tajiri. Kwa shetani hakuna sadaka ndogo na ndo maana mtu akienda kwa mganga sadaka yake ndogo utasikia kuku. Sasa kwa Mungu ni wangap wanatoa hata hiyo kuku? Shetan anashika sana fahamu zetu hata biblia hatuisomi na kuona nguvu ya sadaka ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu.

Shetani amekuja kwaajili ya kuchinja na kutuangamiza na hana jema kwetu.

Barikiwa sana kwa andiko hili.
Yesu kristu akupe afya njema nyenye kila aina ya mafanikio na baraka
Nextime usichoke kuleta andiko zuri kama hili
Ahsante Sana ndugu yangu uchira . Umefafanua vizuri sana
 
Unajua wakristo au hata waislamu tunadhani kumtetea saana Mungu ndio kupendwa saana na Mungu kumbe Mungu anataka tutumie Common sense zetu kuntukuza yeye na si kujiona tunamjua saana.
Hawajiulizi kama viongozi wa dini zetu tunao waamini wanatenda mambo ya ajabu madhabahuni mahali tunapoamini ni patakatifu kwann upuuzie uwezo wa shetani kama anauwezo wa kuvuruga madhabahu??
Upo sawa kabisa ndugu yangu
 
Code hatari saana ila ipo wazi saana,
Ndugu yangu nilipoanza kupata hofu kwenye maisha yangu nilipopata ufahamu kwenye kisa cha Ayubu....

Kili nifanye nijawe na hofu kila nikikisoma kile kisa wakati mwingine hadi machozi, unajua kwann??

Nilijiuliza mtu ka Ayubu aliyemkamilifu aliweza kupitia MATESO MATESO MATESO NA MAGUMU MAGUMU MAGUMU NA MAUMIVU KIASI KILE kisa tuu ni kwa ajili ya mahojiano ya Mungu na shetani, tena Mungu ndo anamshtu shetani maana shetani hakua hata na habari na Ayubu...

Mungu akaruhusu yote hayo!!!!!!! Mi nabaki speechless namuomba aniongoze mwenyewe nguvu zishaniishia sijiwezi kabisaaaa.... na napitia magumu saana kwaajili ya hili.
Ni hatari Sana mambo ya Ulimwengu wa roho
 
Katika vyote vilivyoumbwa binadamu kaumbika kuliko vyote....
Na anapendwa kuliko vyote.....
Na anadekezwa kuliko vyote....

Na analindwa kweli kweli...malaika ni wafanyakazi wetu sisi....

Na hili linawakera kweli kweli.....

Huyo kerubi (cherubium) kwetu si lolote wala chochote....
Siku YESU Alipokufa alishuka kuzimu..je unajua kufanya nn?

Kama alikua na nguvu...kwa nn anawaogopa kina samael na azazel? (Soma kitabu cha yashari na enoch) hapo hatujamtaja mbabe wake kila angle MICHAEL?

Hana lolote...si chochote..ndio maana anajificha na anakaa chini ya ardhi...takataka !
Huu ni ukweli na jamaa amemwambia sana japo hilo la kuwaogopa akina Samael na Azael halijaandikwa kwenye hivyo vitabu ulivyovitaja. Umetunga na kutudanganya.
 
Back
Top Bottom