Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Kwa hilo andiko lako umepotosha japo sijasoma lote nimeishia pale uliposema eti shetani alikuwa kama "waziri mkuu kwenye serikali ya Mbinguni"

Mnamuongezea sifa za kijinga na kumpamba bila sababu. Hakuna sehemu kwenye Biblia inasema kuwa shetani alikuwa nani au "kiongozi wa malaika kama wengi wanavyoamini na kufundisha" hata kama sijasoma andiko lako lote naamini kwa sentensi hiyo hapo juu unamaanisha hivyo. Yeye alikuwa kerubi kama makerubi wengine mkuu na kusema ana mamlaka ndio maana alikaa na kupiga story na Yesu kule jangwani kwa simu 40 pia ni uongo. Biblia inaeleza Yesu alifunga siku 40 jangwani na aliposikia njaa yaani siku ya mwisho ndipo Ibilisi alikuja kumjaribu pitia chakula na sio kama alikuwa anapiga naye story hizo siku 40.

Infact, nje ya mada yako. Je unamjua mzee Sweya Makungu Mstaafu mmoja hivi kule Iringa?
yupo sahihi 100% ,wewe ndo unapotosha.!!
 
Huyu ni wakala,maana anavyompraise huyo shetani Sijawahi ona.,eti shetani ni mkuu🤦🤦🤦🤦

By the way hili andiko lake nimewahi hudhuria seminar ya Isack Ndodi alielezea huuhuu upuuzi,yaani huyu ni kama kacopy
Kasome biblia kitabu cha ufunuo vizuri halafu tafuta tafsiri kwann Mungu anatumia namba 7 . Na shetani anatumia namba 7 ...
 
mungu ni roho ,shetani ni roho na Malaika ni roho(hawakuwa na umbo maalum)

Kumbe kirusi Cha ukimwi kilitengenezwa Kwa kuzingatia utatu huo(mana nachenyewe umbo ladawa hufanya kibadiri umbo

Faizafoxy ,umeona hiyo
 
mungu ni roho ,shetani ni roho na Malaika ni roho(hawakuwa na umbo maalum)

Kumbe kirusi Cha ukimwi kilitengenezwa Kwa kuzingatia utatu huo(mana nachenyewe umbo ladawa hufanya kibadiri umbo

Faizafoxy ,umeona hiyo
Hahahahaaha we mdau
 
Kasome biblia kitabu cha ufunuo vizuri halafu tafuta tafsiri kwann Mungu anatumia namba 7 . Na shetani anatumia namba 7 ...
Kwa Mungu kunakuomba
Kwashetani kunakuomba

Kwa Mungu kunakupata
Kwashetani kunakupata

Kwa Mungu kunasadaka
Kwashetani kunakafara/sadaka

kwamungu hamna uharibifu
Kwashetani kunauharibifu
Kwashetani kunamwisho mbaya wenye majuto mengi.
 
Kwa Mungu kunakuomba
Kwashetani kunakuomba

Kwa Mungu kunakupata
Kwashetani kunakupata

Kwa Mungu kunasadaka
Kwashetani kunakafara/sadaka

kwamungu hamna uharibifu
Kwashetani kunauharibifu
Kwashetani kunamwisho mbaya wenye majuto mengi.
Upo sawa sawa kabisa
 
Na rose mhando naye alitudanganya kwenye wimbo wake eti ya kuwa "Nanukuu!!Shetani Ana Mapembeee""
 
Back
Top Bottom