looly
Senior Member
- Sep 14, 2015
- 183
- 99
Shangaa na wewe [emoji2] [emoji2]Kwani kuongea napapa ndo nini sasa
Pengo anakuwa mungu au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa na wewe [emoji2] [emoji2]Kwani kuongea napapa ndo nini sasa
Pengo anakuwa mungu au
Uko nje ya mada, mtoa mada haongelei kuongea na cm na papa, halafu by the way who is papa?we unamuona papa mtu muhimu sana? Huu bado ni utumwa wa fikra
Kama hukutaka kuandika chochote kuhusiana na yeye, sasa hii thread ni ya nini?, si ungeendelea kukaa kimyaMwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Jee ni kweli kwamba kila wakati watumishi wa Mungu huwa na Roho mtakatifu. Kama Yuda Iskariote alikuwa anaiba kwenye fuko la sadaka tena Kristo mwenyewe akiwepo, ni kwa nini tuamini hawa kina Pengo hawawezi kuwa na udhaifu?Kwa Wakatoliki Kardinali ni mtumishi wa Mungu, anateuliwa na Mungu baada ya kushukiwa na roho Mtakatifu hivyo sauti yake ni Sauti ya Mungu kwa Wakatoliki!
Acheni ushabiki wa kijinga hvi unajua mfumo wa uongozi RC yeye alikua anafafanua kama Nan?Ufafanuzi wake ni maelezo yake binafsi Kama ilivyokua kwa askofu wa Ngala na wala hasimami kma kanisa!!!Msemaji Mkuu wa kanisa ni raisi wa TEC na sio vingnevyo.Ajaribu kuficha mahaba yake kwa chama tawalaHapo kuhusu Gwajima ni uwongo mkubwa. Pengo hajawahi mshitaki Gwajima.
Pia kumbuka maelezo ya Pengo yalikuwa kwamba anafafanua kuwa kauli ya Niwemugizi siyo ya kanisa kwani tayari ulikuwa na hiyo argument iliyohitaji ufafanuzi
Hatawew pia ni mtumishi wa mungu na unahaki sawa na papaNi mtumishi wa Mungu kwa mujibu wa Kanisa Katoliki na Wafuasi wake!
Kumbe nawe zwazwa hivi! Kuongea na papa ndo nini?unaweza ukawa na kiongozi mkubwa hata kuishi nae lakn ukawa jinga tu,hata wewe ni jinga sana..
Huna point..unaleta vitu viwil tofaut..jamaaa hajaongelea Pengo anakaa na nan au kula na nani..hivi mbona kuna watu vichwa maji kiasi hiki..yan maji kabisa..MAJI TAKAWewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Chadema upepo umebadilika...2020 mtalia zaidi
Hatawew pia ni mtumishi wa mungu na unahaki sawa na papa
Usipumbazike mungu ni mmoja na kwake sote tutarejea
Another idiot at work.Kwa hyo neno kubatizwa halitumiki ktk kanisa au umezoea sacrament tu?Jengeni hoja zenye tusiwe maboga hata kwenye mambo ya msingi.Kama hukutaka kuandika chochote kuhusiana na yeye, sasa hii thread ni ya nini?, si ungeendelea kukaa kimya
Kwa maneno haya "mimi nimebatizwa katika RC" tayari ishaonesha wewe sio mkatoliki
Mwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
....Acha ujuha, tunazungumzia katiba ya nchi kwa watanzania 50 mill, hivi unajua watanzania walioko kwenye vyama ni wachache kuliko wasio na vyama? Mkiwa majukwaani mnahubiri utaifa na uzalendo, huku vichochoroni mnakomaa na chama chenu cha makanikia.Kurekebusha katiba ya chama chenu mmeshindwa mtaweza ya nchi!
Kanisa limeanzishwa na Kristo ila madhehebu ndiyo yameanzishwa na wanadamu. Paulo alikemea sana madhehebu lakini bila madhehebu hakuna maslahi kwa wanaoutumia Ukristo kama biashara.Ni kweli labda kwa Mungu hkn tofauti ingawaje sina uhakika na hilo lkn Kanisa Katoliki limeanzishwa na Binadamu na siyo Yesu, Yesu hakuanzisha Kanisa lolote!
Pengo sio siri tena wakatoliki wamemchoka sana, kawaangusha sana.Kipindi ch akutaka kumsikia huwa anapotea sana km lipumba. Mapadri wake alikuwa wazi kabisa kila mahali hawaitaki tena ccm. Sio muda utasikia shinikizo watu wakimtaka papa amtoe na kumwekwa kwa wazee. Sijui km hatosusia kanisa.Siyo kweli! Mleta Mada hawezi kulielewa Kanisa Katoliki na mambo yake jinsi linavyofanya kazi kuliko Pengo kwani hana access yoyote!
Usichanganye Kanisa Katoliki na Imani kwa ujumla wake, Kanisa Katoliki limeanzishwa na Binadamu ni Dola kamili kama vile Serikali ya Tanzania na halina uhusiano na Yesu kwani Yesu hakuanzisha Kanisa lolote lile hapa Duniani!
Hivyo kusema mleta Mada analielewa Kanisa Katoliki klk Kardinali wa Kanisa Katoliki ni sawa na kusema Kubenea anailewa Dola ya Tanzania kuliko WM Majaliwa!
Huruma aitafute kwa huyo gaidi anayejificha nyuma ya ukadinali?Hiyo shule ya Upadri uliyosoma ipo mkoa gani? Acha mambo yako ya ajabu kumuhusisha Askofu na siasa zenu chafu, unatafuta huruma kwa kanisa.
Sitaki kuzungumzia kanisa manatutatofautianaNi kweli labda kwa Mungu hkn tofauti ingawaje sina uhakika na hilo lkn Kanisa Katoliki limeanzishwa na Binadamu na siyo Yesu, Yesu hakuanzisha Kanisa lolote!