lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
escrowKuna vitu anataka visijulikane nyuma ya pazia,si unjua ukimsema vibaya mkulu kama si msafi asubuhi tu wanakugongea mlango
Ngoja Nayeye Watu Wasio Julikana Wamtokee Ndipo Atapata Majibu Hao Waumini Endapo Hawana amani Wataendaje Huko Kanisani Ana Bweteka Na Cheo Chake Hivi Vyeo ni Dhamana tu 'He should wait until he sees the church is empty with no Pledges. This will wake him up''Mwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
Wew jamaa ni msema kweliSiyo kweli! Mleta Mada hawezi kulielewa Kanisa Katoliki na mambo yake jinsi linavyofanya kazi kuliko Pengo kwani hana access yoyote!
Usichanganye Kanisa Katoliki na Imani kwa ujumla wake, Kanisa Katoliki limeanzishwa na Binadamu ni Dola kamili kama vile Serikali ya Tanzania na halina uhusiano na Yesu kwani Yesu hakuanzisha Kanisa lolote lile hapa Duniani!
Hivyo kusema mleta Mada analielewa Kanisa Katoliki klk Kardinali wa Kanisa Katoliki ni sawa na kusema Kubenea anailewa Dola ya Tanzania kuliko WM Majaliwa!
Nje ya Kanisa Katoliki una haki ya kusema chochote lkn ndani ya Kanisa Katoliki Papa ni mtumishi wa Mungu, ameteuliwa na Mungu kuongoza Binadamu billioni 1.23 wakiwemo Wakatoliki wa Tanzania!
Anakaribia kustaafu we mwache aongee tuMwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
Katiba ya nchi "inarekebushwa" na wananchi na wala si wanachama wa vyama vya siasa peke yao!Kurekebusha katiba ya chama chenu mmeshindwa mtaweza ya nchi!
....Kwa mujibu wa utafiti wa Twaweza ni chama gani chenye wanachama wengi vilaza? Kumbuka utafiti hupingwa kwa utafiti na siyo kwa nyimbo za taarabu.Acha ukilaza vyama ndivyo vinavyo mteua mtu kutokana na katiba na taratibu zao chama kikiwa na vilaza kama wewe watateua mgombea Kilaza atakae badilisha katiba kwa maslahi yake na chama chake. Tuanze kurekebisha katiba za vyama kisha tutapata mtu ataetuunga mkono wa kizalendo kurekebisha katiba tuliyo nayo. Umesikia wewe Kilaza?
Hiyo shule ya Upadri uliyosoma ipo mkoa gani? Acha mambo yako ya ajabu kumuhusisha Askofu na siasa zenu chafu, unatafuta huruma kwa kanisa.
Ndugu yangu cheo cha ukadinali hakina maana yoyote zaidi ya kuchagua kiongozi mkuu wa kanisaWewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Hao mapadrii wa kikatoliki sii ndio wanaowalawiti watoto wa watu huko ulaya mashariki na kurudi madhabauni tenaSoma uzi wa mkuu barafu kuhusu kanisa na Utawala utaelewa, Tangu zamani kanisa Katoliki limetumika kufanya dhuluma sana, Mpaka leo kanisa limejaa unafiki na uchafu, Wakatoliki wamegeuzwa watu wa ndio tu, Hata askofu akibaka husema ndio tuzidi kumuheshimu, Wakatoliki wamekuwa watu wa kuwayawaya tu, Kanisa limegeuzwa miliki ya askofu na mapandri, Waumini kazi yao ni kutii amri na miongozo ya kanisa, Unaweza cheka sana ukiuliza unaambiwa mapokeo wapi imeandikwa utasikia Papa gani sijui au mtaguso gani sijui, Biblia wameweka kapuni
Papa hana amri yoyote ndugu kama makadinali wakimgomea ndio maana kuna kitu kinaitwa sinodi wanakutana wale wanaamua wanazodoana wee huko ndani wakitoka na jibu mojaHapo uko sawa, lkn kumbuka tunaongelea Kanisa Katoliki ambalo Mkuu wake ni Papa, ukitoka nje ya Kanisa Katoliki unaweza kumkwepa Papa lkn siyo ndani, na pia Kanisa Roma lina wafuasi 1.23 billion Duniani kati Binadamu Billioi 7, na hawa wote 1.24 billion Mkuu wao ni Papa!
Ndugu yangu cheo cha ukadinali hakina maana yoyote zaidi ya kuchagua kiongozi mkuu wa kanisa
Kanisa linajitegemea kila nchi
Na hapa tanzania kanisa linaongozwa na baraza lile la maaskofu kuanzia rais, makamu,katibu,msemaji,mweka hazina na vitengo mbalimbali vya afya, elimu,dini,uinjilishaji,mahusiano na kadhalika
Pengo hapa Tanzania ni askofu mkuu wa Dar es salam
Kitengo ambacho atakiachia muda sio mrefu kwa kuwa muda wa kustaafu unakaribia
Lakini kingine pengo ni mwana ccm
So sishangai anapomtetea magufuli huku akisahau kazi yake kuu ni kuonya maovu yanayotokea nchini
Atajua yeye na Mungu wake
Hiyo ni stori ya miaka 60iliopita ndugu ndio maana wanaostaki ni wazee wa miaka 90 70 80 60Hao mapadrii wa kikatoliki sii ndio wanaowalawiti watoto wa watu huko ulaya mashariki na kurudi madhabauni tena
Kuwa nastaha unapotoa Maoni yako, pia tambua kuwa na kiti vatcan na kuwa na opportunity ya kumpigia simu Papa siosababu tosha ya kutokuwa Msaliti. Askofu Niwemugizi, alisema Maoniyake yasichukuliwe kuwa ni Maoni ya kanisa. Yeye ni mtanzania kama wewe na Mimi anahaki ya kutoa Maoni. Na huo ni wajibu na haki ya kila binadam aliye hai.Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?