Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Kardinali alimshtaki Askofu Gwajima!!!
Na Kadinali alishindwa Mahakamani.

Kuna ukweli hapo? Au ndo Yale yale
 
Mwanahabari Huru

Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.

Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.

Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.

Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,

Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.

Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.

Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
Ngoja Nayeye Watu Wasio Julikana Wamtokee Ndipo Atapata Majibu Hao Waumini Endapo Hawana amani Wataendaje Huko Kanisani Ana Bweteka Na Cheo Chake Hivi Vyeo ni Dhamana tu 'He should wait until he sees the church is empty with no Pledges. This will wake him up''
 
Siyo kweli! Mleta Mada hawezi kulielewa Kanisa Katoliki na mambo yake jinsi linavyofanya kazi kuliko Pengo kwani hana access yoyote!
Usichanganye Kanisa Katoliki na Imani kwa ujumla wake, Kanisa Katoliki limeanzishwa na Binadamu ni Dola kamili kama vile Serikali ya Tanzania na halina uhusiano na Yesu kwani Yesu hakuanzisha Kanisa lolote lile hapa Duniani!

Hivyo kusema mleta Mada analielewa Kanisa Katoliki klk Kardinali wa Kanisa Katoliki ni sawa na kusema Kubenea anailewa Dola ya Tanzania kuliko WM Majaliwa!
Wew jamaa ni msema kweli
Nakushauli tafuta elimu
 
Nje ya Kanisa Katoliki una haki ya kusema chochote lkn ndani ya Kanisa Katoliki Papa ni mtumishi wa Mungu, ameteuliwa na Mungu kuongoza Binadamu billioni 1.23 wakiwemo Wakatoliki wa Tanzania!

MUNGU alikwambia lini kwamba amemteua Papa Ndani ya kanisa katoliki au umejitungia
 
Mwanahabari Huru

Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.

Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.

Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.

Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,

Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.

Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.

Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
Anakaribia kustaafu we mwache aongee tu
Hata yeye kauli yake haina mamlaka yoyote ndani ya kanisa katoliki
Utawala uko kwa baraza lile TEC
 
Kurekebusha katiba ya chama chenu mmeshindwa mtaweza ya nchi!
Katiba ya nchi "inarekebushwa" na wananchi na wala si wanachama wa vyama vya siasa peke yao!

CCM bwana yaani akili zenu haziwezi kutoka nje ya mzingo wa vyama vya siasa. Yaani kama vile mnadhani watanzania wote wako bize na mambo ya vyama vya siasa!
 
Acha ukilaza vyama ndivyo vinavyo mteua mtu kutokana na katiba na taratibu zao chama kikiwa na vilaza kama wewe watateua mgombea Kilaza atakae badilisha katiba kwa maslahi yake na chama chake. Tuanze kurekebisha katiba za vyama kisha tutapata mtu ataetuunga mkono wa kizalendo kurekebisha katiba tuliyo nayo. Umesikia wewe Kilaza?
....Kwa mujibu wa utafiti wa Twaweza ni chama gani chenye wanachama wengi vilaza? Kumbuka utafiti hupingwa kwa utafiti na siyo kwa nyimbo za taarabu.
 
Mm n mRc kwa vigezo vyote vya kanisa katoliki ila naudhiwa na kukerwa na viongozi wa kanisa lang hasa kukemea maovu
N wanafiki kuliko ata unafiki wenyewe
Anyway wako busy kuongeza sadaka
 
Hiyo shule ya Upadri uliyosoma ipo mkoa gani? Acha mambo yako ya ajabu kumuhusisha Askofu na siasa zenu chafu, unatafuta huruma kwa kanisa.

Mkuu hamna viongoz wanafiki kama wa kanisa katoliki
 
Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Ndugu yangu cheo cha ukadinali hakina maana yoyote zaidi ya kuchagua kiongozi mkuu wa kanisa
Kanisa linajitegemea kila nchi

Na hapa tanzania kanisa linaongozwa na baraza lile la maaskofu kuanzia rais, makamu,katibu,msemaji,mweka hazina na vitengo mbalimbali vya afya, elimu,dini,uinjilishaji,mahusiano na kadhalika
Pengo hapa Tanzania ni askofu mkuu wa Dar es salam

Kitengo ambacho atakiachia muda sio mrefu kwa kuwa muda wa kustaafu unakaribia

Lakini kingine pengo ni mwana ccm
So sishangai anapomtetea magufuli huku akisahau kazi yake kuu ni kuonya maovu yanayotokea nchini
Atajua yeye na Mungu wake
 
Ila ule ni msimamo wake binafsi sio wa waumini wote, pia ye si msemaji wa kanisa.
 
Soma uzi wa mkuu barafu kuhusu kanisa na Utawala utaelewa, Tangu zamani kanisa Katoliki limetumika kufanya dhuluma sana, Mpaka leo kanisa limejaa unafiki na uchafu, Wakatoliki wamegeuzwa watu wa ndio tu, Hata askofu akibaka husema ndio tuzidi kumuheshimu, Wakatoliki wamekuwa watu wa kuwayawaya tu, Kanisa limegeuzwa miliki ya askofu na mapandri, Waumini kazi yao ni kutii amri na miongozo ya kanisa, Unaweza cheka sana ukiuliza unaambiwa mapokeo wapi imeandikwa utasikia Papa gani sijui au mtaguso gani sijui, Biblia wameweka kapuni
Hao mapadrii wa kikatoliki sii ndio wanaowalawiti watoto wa watu huko ulaya mashariki na kurudi madhabauni tena
 
Hapo uko sawa, lkn kumbuka tunaongelea Kanisa Katoliki ambalo Mkuu wake ni Papa, ukitoka nje ya Kanisa Katoliki unaweza kumkwepa Papa lkn siyo ndani, na pia Kanisa Roma lina wafuasi 1.23 billion Duniani kati Binadamu Billioi 7, na hawa wote 1.24 billion Mkuu wao ni Papa!
Papa hana amri yoyote ndugu kama makadinali wakimgomea ndio maana kuna kitu kinaitwa sinodi wanakutana wale wanaamua wanazodoana wee huko ndani wakitoka na jibu moja
Papa hajiongozi bali anaongozwa na makadinali kote duniani hawa wanauwezo wa kumwambia huko unakoenda siko
 
Ndugu yangu cheo cha ukadinali hakina maana yoyote zaidi ya kuchagua kiongozi mkuu wa kanisa
Kanisa linajitegemea kila nchi
Na hapa tanzania kanisa linaongozwa na baraza lile la maaskofu kuanzia rais, makamu,katibu,msemaji,mweka hazina na vitengo mbalimbali vya afya, elimu,dini,uinjilishaji,mahusiano na kadhalika
Pengo hapa Tanzania ni askofu mkuu wa Dar es salam
Kitengo ambacho atakiachia muda sio mrefu kwa kuwa muda wa kustaafu unakaribia

Lakini kingine pengo ni mwana ccm
So sishangai anapomtetea magufuli huku akisahau kazi yake kuu ni kuonya maovu yanayotokea nchini
Atajua yeye na Mungu wake


Ni nani amekudanganya Kanisa Katoliki linajitegemea? Hivi hizi Dini mnazielewa lkn au mnafwata mkumbo tu? Hivi unafahamu kwamba Askofu Mkuu wa Jimbo lao ameletwa kwenye Jimbo lako na Papa aishiye Roma na kwamba wewe kama muumini na mkazi wa hilo Jimbo hauna uwezo wowote wa kuamua ni Askofu yupi awe Mkuu wa Jimbo lako? Ni kama vile Mkuu wa Mkoa/Wilaya Raisi ndiyo anaamua nani amlete kukuongoza Mkoani/Wilayani kwako na haijalishi kama unampenda au laa na hakuna kitu utafanya, basina Ukatoliki ni hivyo hivyo!
 
Hao mapadrii wa kikatoliki sii ndio wanaowalawiti watoto wa watu huko ulaya mashariki na kurudi madhabauni tena
Hiyo ni stori ya miaka 60iliopita ndugu ndio maana wanaostaki ni wazee wa miaka 90 70 80 60
 
Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Kuwa nastaha unapotoa Maoni yako, pia tambua kuwa na kiti vatcan na kuwa na opportunity ya kumpigia simu Papa siosababu tosha ya kutokuwa Msaliti. Askofu Niwemugizi, alisema Maoniyake yasichukuliwe kuwa ni Maoni ya kanisa. Yeye ni mtanzania kama wewe na Mimi anahaki ya kutoa Maoni. Na huo ni wajibu na haki ya kila binadam aliye hai.
 
Back
Top Bottom