Kwa hiyo sifa ya unafiki Vatican kwa papa inakubalika? Kwani Niwemugizi sio Askofu wa Katoliki? Tena Niwemugizi ni Makamu Mwenyekiti wa TEC, kwa hiyo ukizungumzia Kanisa Katoliki Tanzania TEC ndio hasa wenyewe sio Pengo wala Papa. Usipindishe hoja tafadhali.Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Hakika.Ni bora tusishike dola lakini siku ya mwisho TUUONE UFALME WA MUNGU .
Kichwa mavi kabisa, ww umeshika dola gan?Utakufa unawaza hivyo!Vi vyama vya kijinga km VYENU laiti ningekuwa magu...vingeishia....pamoja na watu wake!Upuuzi tupu!Na mtakufa bila kushika dola!
Acha ubabaishaji bwana kama Wewe ni RC FAKE
Mimi nimezaliwa mkatoliki, baba, mama na ndugu zangu wote ni RC
Lakini kwa hiii tabia ya Pengo kulinajisi kanisa...hapa mzee hafai na Mungu amuadhibu kwa kadri ya matendo yake maovu.
Pengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Rais akitaka kuongea na Papa anawasiliana na Balozi wa Vatican hapa Tanzania,sio PengoKardinali sio askofu wa kawaida. Ujue kwanza ni askofu wa Raisi wa nchi. Magufuli askofu wake ni pengo
.pili kardinali ana Siri za kanisa katoliki za dunia nzima na za Vatican ambazo askofu mwingine wa kawaida Hana sababu ni mjumbe wa vikao vizito vya Vatican ambavyo husimamia Mambo Ya kanisa. Pengo ni mtu wa Karibu na Papa. Magufuli akitaka kitu cha kumwambia Papa anaongea na pengo ambaye ni mtu wa karibu na Papa akamwambie hawezi kuongea na Niwemugizi ambaye mwisho wake ngara
Mnataka kila mtu awe mropokaji ndani ya kanisa kama walivyo viongozi wa cdm? Wewe sio mkatoriki, ungeyajua haya.
Bavicha mnahitaji kuwa Na daktari wa akili.Wakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .
Tatizo la kardinal pengo ni mahaba yake na ccm,inaana pengo angekuwa yeye ni nyerere asingeruhusu mfumo wa vyama vyingi,kwa kisingizio cha kuwa sio kipaumbele cha wananchi?Wakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .
Magufuli hata kama akiamua vipi hawezi abadani kufuta mfumo wa vyama vyingi,labda vyama vimfute yeyeUtakufa unawaza hivyo!Vi vyama vya kijinga km VYENU laiti ningekuwa magu...vingeishia....pamoja na watu wake!Upuuzi tupu!Na mtakufa bila kushika dola!
Atoe maoni yake asilisemee kanisa yeye sio msemaji wa kanisaPengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Hivi Kigwangwala bado yuko wizara ya afya ?Bavicha mnahitaji kuwa Na daktari wa akili.
Mkuu ungeelewa kardinali anapatikana vipi usingeandika upuuzi kama huu uliouandika.Wakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .