Kwani unasali kwa faida ya nani? Anayetakiwa kuwa mfano katika jamii ni wewe muumini, sasa unakimbia ili uishi upagani? Think twiceMimi nimeacha hata kusali sikuizi maana hata kanisa nalo limekuwa afta money. They just care about sadaka na si kuwa mfano katika jamii
Wewe hama hata leo, wewe ni mbegu iliyotupwa kwenye mwamba, sisi wenye imani na kanisa Katoliki tunasonga mbele, na hatakuja kupata rais Mprotestanti,nafikiri hatujui hasira yenu inatokana na nini,Kweli mkuu kwa tabia hizi Za Pengo I can think and decide the other way.
Kuliko kuwa nakiongozi wa hovyohovyo namna hii bora kuhamia kwa jirani
Eti anavaa joho nakusimama madhabahuni kwa mafundisho yahovyo namna hii.
Pengo asidhani tupo wajinga that way.
Pengo ndio bosi wa jimbo katoliki la Dar, mojawapo ya majimbo ya kwanza Tanzania. Ndio maana wakati wa mageuzi ya misa, huwa tunalitaja jina lake.Atoe maoni yake asilisemee kanisa yeye sio msemaji wa kanisa
Porojo nyiingi na kiingereza cha kuchovyachovya hakitabadilisha ukweli ndugu.PAPA SI MUNGU NA ROMA SIYO MBINGUNI.kwaheriIf you are not catholic stop commenting about catholic church, because you don't know nothing. Kwa imani yetu, Yesu hakwenda mbinguni na mamlaka yake. Aliyaacha hapa hapa duniani kwa viongozi wa kanisa. Yaani waliachiwa mamlaka ya kufunga na kufungua chochote hapa duniani, na wakifanya hivyo, kitu hicho kinakuwa kimefungwa au kufunguliwa pia huko Mbinguni. Read your bible again, and be careful what you say.
Kwani Niwemugizi alitoa msimamo wa kanisa?Waambieni tu na wakwenu KKKT waunge mkono katiba mpya tatizo liko wapi. Vinginevyo ni upumbaff namba moja kushabikia vyama visivyokuwa na agenda za kuleta maendeleo kwa wananchi hata vikapata support kubwa.kutwa kucha kudandia matukio matukio.kardinali Pengo alisema huo sio msimamo wa kanisa bali ni mawazo yake huyo aliyeyatoa.kuna propaganda zingine hadi kichefuchefu
Papa alijiudhulu ndie yeye.Acha habari za kusaidikika km vile kitu haifikiki.Akishajiona akili yake inapoteza uwezo anaweza kiri mwenyewe.Na ikizidihadi kushindwa jitambua kuwa ana shida.Papa anaweza mweka bench na kumtafutia kazi mbadala.Mkuu ungeelewa kardinali anapatikana vipi usingeandika upuuzi kama huu uliouandika.
Ungeelewa heshima yake kidini usingejisumbua kuandika mambo ambayo huyafahamu.
Kardinali sio mtu mdogo sana kama unavyodhani, kama mnavyoongea mkiwa kijiweni kwenu.
Kila mara anakuja na kuleta msimamo mi niliacha kumwamini kuanzia swala la mahakama ya kadhi pamoja na katiba mpyaSasa kama si msimamo wa kanisa naye Pengo hayo aliyoyasema ni mismamo wake au kanisa ?!. Kumbuka huyu Pengo hata wakati wa bunge la katiba aliwakoroga watu kwa kuukana waraka wa baraza la maaskofu Tz, napo pia alidai siyo msimamo wa kanisa!!
Pamoja na hayo mambo ya KKT, RC, SDA, ISLAM, AIC, ANGLICAN & PENTECOSTE yasiwagawe WaTz na tukauacha ukweli kisa tu aliyezungumza si wa kwetu!!.
Mange ameshawaelekeza nini cha kufanya?[emoji13] [emoji13] [emoji13] je mkimtoa Pengo nani achukue nafasi yake?mwenyekiti wa maisha?RL? TL? FM?[emoji13] [emoji13] [emoji13]Wakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .
Ni kweli ila alijipambanua kwa kumpinga Askofu Mwenzake eti yeye ndiye anatoa msimamo wa kanisa wakati sio kweli ?Pengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Tunahitaji kuwa na kiongozi Imara wa kiroho ,kauli zake kwa kweli zimekuwa na mnyukano sana ,hata baba mtakatifu Benerdicto alijiuzuru Upope baada ya kuona yu mgonjwa na amepoteza nguvu nadhani ili ni sahihi kwa Kardinal pamoja na nguvu aliyo nayo kwa PombePengo ndio Godfather wa Pombe..
mnamuona Pengo mnafiki basi siku akifa ndo mtatamani afufuke..
ndio mtu pekee anaeweza kumbishia Pombe kitu na akasikia..
Huyo hajui hata mafundisho ya kanisa achane nayeAcha ubabaishaji bwana kama Wewe ni RC FAKE
Mimi nimezaliwa mkatoliki, baba, mama na ndugu zangu wote ni RC
Lakini kwa hiii tabia ya Pengo kulinajisi kanisa...hapa mzee hafai na Mungu amuadhibu kwa kadri ya matendo yake maovu.
Halafu mnaajiita wademokrasia. Mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe mnamfukuza. Ni ngumu sana kuficha unafiki.
Sasa kwanini wengine wakitoa maoni yao anawaka? Niwemugizi alitaja wapi kuwa mahubiri yake siku ile ni msimamo wa kanisa katoliki? Mbona amewashwa tu na askofu mwingine aliyeko kwenye jimbo ambalo ni mbali mno na jimbo la pengo?Pengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Ila maaskofu wengine ndio hawana uhuru huo?Pengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Gwajima ndio msemaji wa kanisa lake , pengo si msemaji wa RC .Wakati wa gwajima sijui mnakumbuka mlisemaje?
Mkuu, msiwe kama mbumbumbu wa kisiasa, sio kila mtu awe na mawazo au fikra kama zenu.Papa alijiudhulu ndie yeye.Acha habari za kusaidikika km vile kitu haifikiki.Akishajiona akili yake inapoteza uwezo anaweza kiri mwenyewe.Na ikizidihadi kushindwa jitambua kuwa ana shida.Papa anaweza mweka bench na kumtafutia kazi mbadala.