Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo siyo msemaji wa kanisa mpuuzi mkubwa wewe.

Nyinyi ndio wale mlioweka picha za Brian Deacon sebuleni kwenu, itachukuwa kizazi kingine kuja kujitambuwa upagani na ubatili mlionao.
 
Hayo ya kujiuzuli Papa Benedict yamekuja kwa sababu Askofu Pengo katoa maoni yake kama kiongozi mkuu wa jimbo katoliki la Dar?.

Jifunzeni kuzoea kusikia maoni yenye mantiki tofauti na zile mnazotembea nazo vichwani mwenu.
 
Lakini viongozi wa dini mpo katika JARIBU KUWA kwa wakati huu. Msipokuwa makini na matamshi yenu, msipokuwa makini kuwaongoza waumini weni, msipokuwa makini katika kuishauri serikali, taifa litaingia katika dhahama kubwa ambapo ninyi mtakuwa watu wa kwanza kujibu mbele za Mungu endapo KWA KUJUA AU KUTOKUJUA AU KWA KUTOTIMIZA WAJIBU WENU. Wajibu wenu mkubwa kwa sasa ni kuwaelekeza kondoo hawa wa Mungu waliopo Tanzania wasije wakatenda dhambi aliyoitenda KAINI ya kumuu nduguye ABILI
 
Mkuu mpumbavu ni wewe ambaye mambo ya kiroho unayajadili kwa nguvu kubwa kwenye jukwaa la kisiasa.

Jinsi unavyomjua mwanasiasa wako na nyendo zake unadhani na kwenye masuala ya dini ni hivyo hivyo.

Askofu Pengo ni kiongozi wetu na tunaheshimu maoni yake. Ndio mwakilishi wa Pope hapa Tanzania. Kama mnae kardinali mwingine mnayemuamini basi hilo ni tatizo lenu wenyewe.
 
Aliyosema pengo si msimamo wa baraza la maaskofu, msimamo wa baraza unatolewa na TEC
 
Watanzania wengi walidanganywa kwa miaka mingi sana kwamba Pengo yuko na madaraka kama ya Mufti .

CCM wanatumia mbinu za kizamani sana !
 
Ukatoliki wako ni wakutiliwa mashaka makubwa kama hujui Papa ana muwakilishi wake Tanzania ambaye ni balozi wa Vatican, pengo si mwakilishi wa Papa.

Napoteza muda wangu bure kumuelimisha mtu ambaye ubongo wake umejaa fungus.

Nimekuwekea chapisho usome nilidhani utasoma uelimike kumbe naelimisha msukule.
 
Umehangaika sana kujibu hoja moja
 
Kwani ameshindwa kumweleza hukohuko mpaka alitoe public? hii ni kuliingiza kanisa katika malumbano ya kisisa na kuligawa kanisa! kama ameona mwenzie kakosea angelishawishi kakao cha baraza la maaskofu ndipo baraza litoe tamko!
Mmmmm Niwemugizi Ana kiburi cha kihaya Kama kilaini aliyeondolewa dar kwa kushindana na pengo. He is a much know hajui kardinali ni nani? Na anastahili heshima ipi? Kama hajui akae na askofu kilaini amweleweshe kardinali ni nani wako wote mkoa wa kagera si vibaya akatafuta ushauri kwake badala ya kukariri notisi za vyuoni za urbaniana university italia
 
Askofu Pengo ni kiongozi wetu na tunaheshimu maoni yake. Ndio mwakilishi wa Pope hapa Tanzania. Kama mnae kardinali mwingine mnayemuamini basi hilo ni tatizo lenu wenyewe.


Nabaki kucheka tuuu
unaandika maneno mengi halafu yote Pumba
Jamaa kasema mmegeuza picha ya muigizaji Brian Deacon na kuigeuza kuwa ndio Yesu sasa... Ukiingia kila nyumba ya Mkatoliki lazima uikute ukutani.
Mwenzio nilizi chana chana zote wakati naukimbia Ukatoliki.
 
Kwani muadam kadinali naomba nikukumbushe kuwa KATIBA kwa SERIKALI ni kama ilivyo BIBLIA. kwa KANISA.

Leo hii mtu akikuambia kuwa BIBLIA sio muhimu kwa kanisa bali kilicho muhimu ni HUDUMA bila shaka utamuona ni mwendawazimu
Sure,ya kaizari amuachie kaizari,anafanya kazi ya Humphrey Polepole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…