Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mnabaki kucheka kwa sababu mnazama kwenye mada nyepesi sana. Nyinyi kuwa watu wa madhehebu mengine mbali na ukatoliki sio kigezo cha kejeli zenu kuwa ndio uhalisia wa mambo.Nabaki kucheka tuuu...
Bwana mdogo unaandika maneno mengi halafu yote Pumba...
Jamaa kasema mmegeuza picha ya muigizaji Brian Deacon na kuigeuza kuwa ndio Yesu sasa... Ukiingia kila nyumba ya Mkatoliki lazima uikute ukutani..
Mwenzio nilizi chana chana zote wakati naukimbia Ukatoliki...
Wakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .
Unafikiri Kanisa linaendeshwa kama kikundi cha Chadema....
Mbona alipomtukana Pengo aliishia kutembelea wheel chair nenda kamuulize na uite Waandishi Wa habari mwende nao kwa gwajima mumuulize swali moja tu kuwa je utarudia tena kuuliza kuwa pengo kala maharage gani? Au muulizeni swali lolote kuhusu pengo muone atakavyonywea Kama kamwagiwa tindikali.Pengo namba ingine hawezi chezewa na vitoto Kama gwajima. Nendeni mkamuhoji gwajima hata Kwa swali dogo tu kuwa any comment baada ya pengo kumjibu niwemugizi unasemaje gwajima uone atakavyoruka.Kiboko yake Gwajima
Awahi ufufuo na uzimaTeh! Teh!
Ila jamaa kama kweli vile,karogwa
Mmmmm Niwemugizi Ana kiburi cha kihaya Kama kilaini aliyeondolewa dar kwa kushindana na pengo. He is a much know hajui kardinali ni nani? Na anastahili heshima ipi? Kama hajui akae na askofu kilaini amweleweshe kardinali ni nani wako wote mkoa wa kagera si vibaya akatafuta ushauri kwake badala ya kukariri notisi za vyuoni za urbaniana university italia
Kwani Pengo alikuwa anaongelea habari za Yesu?Inakuwaaje hii post iwe kwenye jukwaa la siasa? Inamaana sasa dini na siasa siku hizi ni kitu kimoja?
Umenena mkuuRC wanauvumilivu sana
Kufukuzana wanafukuzana Anglikana na walokole
Maoni yawe yenye maana ndo maana kutumika garama kubwa kwa katiba ya Warioba alafu inakuja kauli kama hiiPengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Haina katiba iliyoandikwa lakini ina mila na desturi zinazofuatwa kikamilifu, mfumo mzuri wa kimahakama na hukumu zake kama rejea,wewe hayo Tanzania yapo?Uingereza haijawahi kuwa na katiba na haina mpango wa kuwa na katiba lakini ni nchi iliyoendelea.Katiba sio kipaumbele cha maendeleo
Basi hafanyi hilo jukumu lake vizuri, kuna pengoPengo ndio Godfather wa Pombe..
mnamuona Pengo mnafiki basi siku akifa ndo mtatamani afufuke..
ndio mtu pekee anaeweza kumbishia Pombe kitu na akasikia..
Protocol za kanisa katoliki tofauti na za chadema ambako kila mtu msemaji Nassari msemaji lema msemaji Mchungaji msigwa msemaji Sugu msemaji bavicha wasemaji kijo bisimba msemaji nkUmehangaika sana kujibu hoja moja
Pengo hana mamlaka ya kuongea kwa niaba ya kanisa, ukae ukilijuwa hili vyema.Sawa, lakini hapo hajatoa maoni yake binafsi. Yule mwingine ndio hii statement ilimfaa.
Naunga mkono kauli aliyoitoa pengo kwa niaba ya Kanisa.