LEGE kwa kweli katukomeshaaa...halafu naanza kuona post za hatari mara contant za anaeuza hz stori sasa cjui biashara imeingilia katii. Itabidi tumteke kama Josh alivyofanya kwa wakili msomi JasonNjoo tupange mpango wa kumteka lege
Labda hati miliki imeleta tabuuLabda mtunzi kamtaka asiendelee.
Nimejikuta naanza kukupenda kama mh jaji kwa penielaLEGE kwa kweli katukomeshaaa...halafu naanza kuona post za hatari mara contant za anaeuza hz stori sasa cjui biashara imeingilia katii. Itabidi tumteke kama Josh alivyofanya kwa wakili msomi Jason
Kweli hapo peniela ni mrembo haswaa
Hahahaaa jiandae kupokea chupa ya uso toka kwa Jason...ngoja nilale tuu LEGE kaniligeza.Nimejikuta naanza kukupenda kama mh jaji kwa peniela
Yaani umekubali kulegezwa kirahisi hivyo?Hahahaaa jiandae kupokea chupa ya uso toka kwa Jason...ngoja nilale tuu LEGE kaniligeza.
Hiyo no.hapo haijakamilika.imeishia 99 lakini kuna no.moja ipo missinghapana huyo sister kaomba contact za mtunzi
MhPaniela kafanya nikeshe looooh
HahahahhhSasa nitafanyaje mkuu, naunaona "the problem the language even in the white house". Hapa nilipo sina hata hiyo kamusi mkuu, na hata ningekua nayo, basi kuna kukesha nimeshika kamusi badala ya Biblia na episode moja nikajikuta naimaliza mwezi mzima. Mwambie chonde chonde, aendelee kutufanyia utu na u binadamu. Hata kama ni kifurushi tutamtumia.
Shukrani usijar tunaelewawakuu za kutwa na poleni sana kwakusubilia sana mzigo.nikiwa na nafasi nitakuwa na ubwaga kadili niwezavyo hata kama ni sehem 10 nitafanya hivyo naninapokuwa nimebanwa plz tuvumiliane pia ndio maana najitahidi kwa siku ziwe zinafika sehem 10 na siku mkiona kimyaa msikasirike sana wakuu
[emoji28]Kutoa ni Moyo Bro