Nimetupia, mtafute Mkuu.Yeah aisee mkuu tupia contacts za mtunzi tununue tu kama ndo hvo
Dany hovyo tu...mtunzi mvivu...Dah kwa hii story Dany hakuna anachofanya anacheza cheza tu Mathew anafanya kazi yake kwa umakini sana na hana mchezo nimeikubaliii LEGE wewe ni mkalii
Acha hizo bana unanukuu page lote la nn? Si uandike tu kama wengineUyu mwanamke ni shetani anawachanganya wote
poleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
Hata mm John sitaki afe kabisaSijui kwa nn pamoja na ukatil wote wa john sitaki afe
pole LEGEpoleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu