babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Kidogo moyo umetulia. Tunaisubiri kwa hamupoleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
Njoo Peniele wangu Mr.Lege karudi hewaniKimsingi nimekuwa frustrated kabisaa
Tanteee babu nimekuja jana nilala menunaaaNjoo Peniele wangu Mr.Lege karudi hewani
Tanteee babu nimekuja jana nilala menunaaaNjoo Peniele wangu Mr.Lege karudi hewani
Asavalii michepuko ilie tuu this wk endpoleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
Safi tuma sehem kama kumi kiongozi tuone flaviana kama kaponastory yote ina episode 5 mkuu.na kila episode ina sehem 36 kama sijakosea
We jamaa ukianza kuuliza vitabu madukani unaharibu
Asavalii michepuko ilie tuu this wk end
HAINA kitabu mkuu