Peniela (Story ya kijasusi)


LEGE tunaendelea au tulale?
 
Anitha maskini sijui Na yy atakatwa vidole maana rosemary mmmm si mchezo
Ila pia paniela aliweka nguvu nyingi sana kwenye kundi la kina elibariki akasahau wale Wa marecan Na ninaisi alipo zimia kwenye msiba Wa John ndipo Na wao waka mwekea Na yy kadude kwenye simu yake wasikilize maongezi yake yote
 

Lengolao lilikuwa ni kumuua tu, kwani kwa kutokukaa na wenzake ili kupanga mazishi yaweje wakati yeye ndo aliekuwa anategemewa, na kuonekana na mtu aliempa presha john mpaka akazidiwa halafu mtu mwenyewe haeleweki hakuna namna tena, zaidi ya kumuua tu"nncho jiuliza baada ya amos kufa na walikusudia kumuua penny! Ina maana sc41 hawana mpango tena na hiyo pakage?
 
Sc41 lazima watakuwa Na mtu mwingine Wa uhakika Wa kukamilisha mishen sema hii Ngoma ata aitabiriki
Kwanza akuna ata wakumwamin maana wenyewe wanageukana
Kuna mandumila kuwili
Mandumila kutatu Na kunne usije shaangaa meth nae kumbe anawatu wake or kuna mtu anashirikiana nae kupata package
 
Hadithi ndiyo imepamba moto, kwa hapa mtunzi anatakiwa kuumiza sana kichwa hili utamu uzidi ule wa mwanzo.
 

Sawa Mkuu, vipande vya Leo vimenigusa tofauti, nimeonya machungu, dah! Sina maneno ya kutumia.

Mathew kitakachomwokoa sasa ni marafiki zake wa CIA na Mali alizoachiwa na John Mwaulaya. Maana John amemuacha Mathew kama mzazi wa Penny na mrithi wa Mali zake.
 
Nimeshindwa kuendelea kusoma baada ya Chizibariki kufungus mlango
Hahahaaaaaa.! Huo ndio utamu wa hii story. Binafsi matukio ya Leo yamenifanya niipende zaidi.
Tena ndio mzuka umezidi kujua nini kitatokea.
 
Mhhh hii ndo part alowaficha wenzie eeeh????picha inaanza upya......
 
What the f#$$@ Elibariki.How can you do this.?Hakika utajuta kwa uamuzi huo.Mathew atakuwa mnyama sasa kunguliwa mara mbili na nyumba dah.Kuanzia sasa atakayekstisha mbele ya Matthew atajuta ... sagasaga ubwie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…