Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh, mbona ulipoteaNipo macho my annithaa
Nani kuquote hadithi yote umenifananishaNi shetani kweli lakini kuquote hadithi yote hii unatuchosha tu.watu gari ishawaka hii tunaflow na section tu
Inasikitisha sana kuona hizi nyumba 2 muhimu zinaunguzwa, pamoja na uzuri wa nyumba ya Peniela na vitu vingi vya thamani vilivyokuwemo, kuna kile kibox alichopewa na John Mwaulaya, hajakifungua kujua kuna nini sijui hatima ya hiki kibox.
Nyumbani kwa Mathew ilikuwa ni nyumba ya thamani nyumba ambayo Mathew aliamini kuwa ni sehemu salama kuliko sehemu yoyote.
Lakini kulikuwa na vitendea kazi muhimu hii ikiwa ni pamoja na magari yake, lakini kulikuwemo na kitu cha muhimu zaidi ambacho kiliwagharimu muda pamoja na uhai wa baadhi ya watu, kitu hiki ni zile nyaraka za siri zenye formula ya kutengeneza virus hatari, hii nayo sijui hatima yake.
Ngoja nione mtunzi atakavyo fix hii sintofahamu ya haya mambo pamoja na mengine.
Kitu kingine na ambacho nilikiona mapema ni Mathew kuwaamini sana washirika wake na kuwaonyesha mambo mengi ya siri pale nyumbani kwake, hili jambo limemgharimu.
Poor Elibariki.
Kibox kilihifadhiwa ktk kasri jipya la Penny alilopewa na Mr Prezda....Inasikitisha sana kuona hizi nyumba 2 muhimu zinaunguzwa, pamoja na uzuri wa nyumba ya Peniela na vitu vingi vya thamani vilivyokuwemo, kuna kile kibox alichopewa na John Mwaulaya, hajakifungua kujua kuna nini sijui hatima ya hiki kibox.
Nyumbani kwa Mathew ilikuwa ni nyumba ya thamani nyumba ambayo Mathew aliamini kuwa ni sehemu salama kuliko sehemu yoyote.
Lakini kulikuwa na vitendea kazi muhimu hii ikiwa ni pamoja na magari yake, lakini kulikuwemo na kitu cha muhimu zaidi ambacho kiliwagharimu muda pamoja na uhai wa baadhi ya watu, kitu hiki ni zile nyaraka za siri zenye formula ya kutengeneza virus hatari, hii nayo sijui hatima yake.
Ngoja nione mtunzi atakavyo fix hii sintofahamu ya haya mambo pamoja na mengine.
Kitu kingine na ambacho nilikiona mapema ni Mathew kuwaamini sana washirika wake na kuwaonyesha mambo mengi ya siri pale nyumbani kwake, hili jambo limemgharimu.
Poor Elibariki.
Nimekupata TaiJike, thanks.Kibox kilihifadhiwa ktk kasri jipya la Penny alilopewa na Mr Prezda....
Kuhusu nyaraka ila yenye formulas as kirusi yaweza patikana kwenye e - mail iliyotumwa Israel au underground siamini kama vitu muhimu Mathew angehifadhi panapofikika kwa urahisi.
Inasikitisha sana kuona hizi nyumba 2 muhimu zinaunguzwa, pamoja na uzuri wa nyumba ya Peniela na vitu vingi vya thamani vilivyokuwemo, kuna kile kibox alichopewa na John Mwaulaya, hajakifungua kujua kuna nini sijui hatima ya hiki kibox.
Nyumbani kwa Mathew ilikuwa ni nyumba ya thamani nyumba ambayo Mathew aliamini kuwa ni sehemu salama kuliko sehemu yoyote.
Lakini kulikuwa na vitendea kazi muhimu hii ikiwa ni pamoja na magari yake, lakini kulikuwemo na kitu cha muhimu zaidi ambacho kiliwagharimu muda pamoja na uhai wa baadhi ya watu, kitu hiki ni zile nyaraka za siri zenye formula ya kutengeneza virus hatari, hii nayo sijui hatima yake.
Ngoja nione mtunzi atakavyo fix hii sintofahamu ya haya mambo pamoja na mengine. mkuu hakuna lililo haribika kile kibox alichopewa peniel umesahau kuwa hakukiweka nyumbani kwake bali alikihifadhi kulee kwenye nyumba iliyopo ufukweni aliyo pewa na dr JOSHUA?
nakuhusu karatasi zile haina shida kila kitu washakijua kilichopo kwenye zile karatasi na nzuri zaidi kopi alishazituma kwa jamaa zake waliomsaidia kutambua kuwa kunani??
kuhusu nyumba ya mathew kuteketea na vitendea kazi vyake hakuwezi kumzuia kufanya kazi. kumbuka john mwaulaya kamwachia mikoba yote mathew hivyo tegemea kuna mengi na siri nyingi sana kaachiwa pia.
mtunzi hakuna sehyem atakapo jichanganya kila tukio linapoishi ni mwanzo wa tukio jingine .
Kitu kingine na ambacho nilikiona mapema ni Mathew kuwaamini sana washirika wake na kuwaonyesha mambo mengi ya siri pale nyumbani kwake, hili jambo limemgharimu.
Poor Elibariki.
Hahahaha ni suala la kujitambua tu mkuuwatu watashindwa kufanya kazi mkuu
watu watashindwa kufanya kazi mkuu
watu watashindwa kufanya kazi mkuu
haya mkuu vyakusukutulia hivyo. mchana utapata cha kushushia msosi n jioni cha kulalia. maana haina jinsi