Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,804
Kwangu mm demu safi ni anithani mara milioni mathew amgegede peniela kuliko chizi elibariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu mm demu safi ni anithani mara milioni mathew amgegede peniela kuliko chizi elibariki
Uyu mwanamke ni shetani anawachanganya wote
mkuu ilitakiwa sehem hiyo iwepo ili kutoa nafasi kwa eribariki kufanya alichokifanya na mateka waliopo nyumbani kwa mathew kuja kuokolowa coz angeingia na kutoka kwa peniele basi nyumbani kwa mathew yasingekamilika yaliyotokea.
mkuu picha linaanza upya na hapo ndio linaongeza mzuka zaidi na kuwa tamu zaidi je niupande upi utafanikiwa kuinyaka package??
Anitha maskini sijui Na yy atakatwa vidole maana rosemary mmmm si mchezo
Ila pia paniela aliweka nguvu nyingi sana kwenye kundi la kina elibariki akasahau wale Wa marecan Na ninaisi alipo zimia kwenye msiba Wa John ndipo Na wao waka mwekea Na yy kadude kwenye simu yake wasikilize maongezi yake yote
Sc41 lazima watakuwa Na mtu mwingine Wa uhakika Wa kukamilisha mishen sema hii Ngoma ata aitabirikiLengolao lilikuwa ni kumuua tu, kwani kwa kutokukaa na wenzake ili kupanga mazishi yaweje wakati yeye ndo aliekuwa anategemewa, na kuonekana na mtu aliempa presha john mpaka akazidiwa halafu mtu mwenyewe haeleweki hakuna namna tena, zaidi ya kumuua tu"nncho jiuliza baada ya amos kufa na walikusudia kumuua penny! Ina maana sc41 hawana mpango tena na hiyo pakage?
mkuu ilitakiwa sehem hiyo iwepo ili kutoa nafasi kwa eribariki kufanya alichokifanya na mateka waliopo nyumbani kwa mathew kuja kuokolowa coz angeingia na kutoka kwa peniele basi nyumbani kwa mathew yasingekamilika yaliyotokea.
mkuu picha linaanza upya na hapo ndio linaongeza mzuka zaidi na kuwa tamu zaidi je niupande upi utafanikiwa kuinyaka package??
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nataman nipewe slaha nikamwokoe anitha
Hahahaaaaaa.! Huo ndio utamu wa hii story. Binafsi matukio ya Leo yamenifanya niipende zaidi.Nimeshindwa kuendelea kusoma baada ya Chizibariki kufungus mlango
Mhhh hii ndo part alowaficha wenzie eeeh????picha inaanza upya......Sawa Mkuu, vipande vya Leo vimenigusa tofauti, nimeonya machungu, dah! Sina maneno ya kutumia.
Mathew kitakachomwokoa sasa ni marafiki zake wa CIA na Mali alizoachiwa na John Mwaulaya. Maana John amemuacha Mathew kama mzazi wa Penny na mrithi wa Mali zake.