dont underestimate Anitha atapambana tuAnitha maskini sijui Na yy atakatwa vidole maana rosemary mmmm si mchezo
Ila pia paniela aliweka nguvu nyingi sana kwenye kundi la kina elibariki akasahau wale Wa marecan Na ninaisi alipo zimia kwenye msiba Wa John ndipo Na wao waka mwekea Na yy kadude kwenye simu yake wasikilize maongezi yake yote
Nadhani mtunzi ametuaminisha kuwa saa nyingine frustrations usipozicontrol zinakuweka kufanya maamuzi mabaya na pia binadamu wanatofautiana sana jinsi wanavyohandle issues.Nafikiri kisingetokea kitendo cha Naomi kumbaka Elibariki yasingetokea haya.Elibariki anaona kama Peniela hatamsameheMtunzi ametumia character asiyefaa kuifanya story au kazi iwe nguvu. Yaani Elibariki aliyekuwa jasiri mwenye kusimamia uamuzi wake eti awazie maisha yake na kwenda kumuangukia Joshua aliyemuua mama mkwe wake na mkewe. Hata pamoja na kugundua hicho kirusi. Turn of events haijakaa sawa, ni mara mia angemtumia Naomi. Story haijaunganishwa vizuri sana.
Hata Mimi hapa nimeshangaa kwa akili ya kawaida haiwezekan maana hakuna wa kumuunganisha Elibariki kwa Dr. Joshua tena na hapa ili storii uendelee kuwa tamu inatakiwa Elibariki akufe tuuu maana hamna namnaMtunzi ametumia character asiyefaa kuifanya story au kazi iwe nguvu. Yaani Elibariki aliyekuwa jasiri mwenye kusimamia uamuzi wake eti awazie maisha yake na kwenda kumuangukia Joshua aliyemuua mama mkwe wake na mkewe. Hata pamoja na kugundua hicho kirusi. Turn of events haijakaa sawa, ni mara mia angemtumia Naomi. Story haijaunganishwa vizuri sana.
Hata kama amefanya kitu cha kijinga sana, Penuel naye amejishusha sana thamni kias cha kila mwanaume kutoka kulala naye hafai kuwa First LadyNadhani mtunzi ametuaminisha kuwa saa nyingine frustrations usipozicontrol zinakuweka kufanya maamuzi mabaya na pia binadamu wanatofautiana sana jinsi wanavyohandle issues.Nafikiri kisingetokea kitendo cha Naomi kumbaka Elibariki yasingetokea haya.Elibariki anaona kama Peniela hatamsamehe
Nimemkubali sana mtunzi. Amejaribu kutuonyesha mambo yanayoweza kubadili tabia za watu.Mtunzi ametumia character asiyefaa kuifanya story au kazi iwe nguvu. Yaani Elibariki aliyekuwa jasiri mwenye kusimamia uamuzi wake eti awazie maisha yake na kwenda kumuangukia Joshua aliyemuua mama mkwe wake na mkewe. Hata pamoja na kugundua hicho kirusi. Turn of events haijakaa sawa, ni mara mia angemtumia Naomi. Story haijaunganishwa vizuri sana.
Ninasubiri kuuona uwezo wa mtunzi wa hii kitu. Maana kaivuruga vuruga, nasubiri nione jinsi atakavyo iunganisha tena.Hata Mimi hapa nimeshangaa kwa akili ya kawaida haiwezekan maana hakuna wa kumuunganisha Elibariki kwa Dr. Joshua tena na hapa ili storii uendelee kuwa tamu inatakiwa Elibariki akufe tuuu maana hamna namna
Mkuu naungana na wewe 100% first lady kama Penuela no way.Atamuingiza raisi matatani kwa kutembea na watu wake wa karibuAnaamini mwili wake ndio utakaomfikisha popote anapotaka sasa hata kwa national security hafai.Hata kama amefanya kitu cha kijinga sana, Penuel naye amejishusha sana thamni kias cha kila mwanaume kutoka kulala naye hafai kuwa First Lady
Hata wasomaji kuna vichaa pia tizama views 77230 comments 1220 ina maana kama kashindwa kuandika hata ku like pia kazi?zaidi ya kichaa.
Cjui kama ntamsamehe huyu Elibariki, ameharibu Kila kitu yaniKatika sehemu iliyonikwaza ni hiii yaaaniii Elibariki shenzy sana
Mkuu bora nimesoma hii reply Yako nnaeza endelea kusoma maana nilishavurugwa na huyu chizibariki... Ila Matthew namkubali sana, pole zake pia Kwa mkasa wa Leo, team SC41 nao washavurugwa....um so nervous kwa kweli maana ni ngumu kutabiri jambo linalokuja..Ninasubiri kuuona uwezo wa mtunzi wa hii kitu. Maana kaivuruga vuruga, nasubiri nione jinsi atakavyo iunganisha tena.
Ila hadi haoa ameshaonyesha uwezo mkubwa, maana hawachezeshi characters peke yake bali hadi wasomaji wake. Pia hana upendekeo kwa Characters wake Bali wote anawa treat kama binaadam kwa sifa zao za kitaalam, uzembe, wivu udhaifu na umakini kila pale inapobidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu sio kwa mahaba hayo. Binafsi chizibariki kanivuruga kabisa. Na mathew alivyopigwa risasi ndo kabisa. Hii ndo inaitwa twisting events katika fasihi.Sikupata usingiz usiku kwa kumuwaza methew daah
Sitakuwa namtendea haki Penney kwa sababu yuko kazini na aliingizwa team Sc41 na kufunzwa kunasa marijali, kama team Mathew anawajibika ipasavyo. Hutaki lia....[emoji24] [emoji24] [emoji24]Mkuu naungana na wewe 100% first lady kama Penuela no way.Atamuingiza raisi matatani kwa kutembea na watu wake wa karibuAnaamini mwili wake ndio utakaomfikisha popote anapotaka sasa hata kwa national security hafai.