mambo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 2,371
- 5,602
dont underestimate Anitha atapambana tuAnitha maskini sijui Na yy atakatwa vidole maana rosemary mmmm si mchezo
Ila pia paniela aliweka nguvu nyingi sana kwenye kundi la kina elibariki akasahau wale Wa marecan Na ninaisi alipo zimia kwenye msiba Wa John ndipo Na wao waka mwekea Na yy kadude kwenye simu yake wasikilize maongezi yake yote