Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Halafu lege sijui kimetokea nn! Mi ninawasi Lege hana uwezo tena wa kuendelea kuileta hii story hapa" kuna mahali lege alisema kuwa ipo facebook na ktk whatsap group la huyo mtunzi" ni wakati mzuri sasa kwa mwenye kuweza kuitoa huko na kuiweka hapa!
 
Halafu lege sijui kimetokea nn! Mi ninawasi Lege hana uwezo tena wa kuendelea kuileta hii story hapa" kuna mahali lege alisema kuwa ipo facebook na ktk whatsap group la huyo mtunzi" ni wakati mzuri sasa kwa mwenye kuweza kuitoa huko na kuiweka hapa!
Onesha shukran na dhamani ya muda wa Mkuu LEGE kwa kuitoa huko, otherwise ilete wewe kama unaouwezo
 
Sasa hivi ni muda wa kazi, si burudani mkuu! Jamaa ninaye hapa anasema ataweka episode kibao usiku! Hataki watu wapunguze production kazini kwao, wasije wakafukuzwa bure!!!

Acha wenge wewe ... Sio kila mtu ameajiriwa Kama wewe ama anafanya kazi mchana Kama wewe . wengine wako nje ya nchi na Masaa yamepishana . tulia acha hadithi iwekwe Kama hutaweza kusoma muda huu waachie wengine wasome . usijifanye mjuaji wa kila kitu .
 
Onesha shukran na dhamani ya muda wa Mkuu LEGE kwa kuitoa huko, otherwise ilete wewe kama unaouwezo
Huyo mwambieni akaendelee kusoma riwaya ya Danny na Majini...
Ingawa ukweli in kwamba wengine kwetu sasa hivi ni usiku na hatuna cha kufanya.
Tunasubiri usiku yenu ambayo itakua mchana yetu tukiwa maofisini ndiyo tuifuatilie.
 
Rosemary mkozumi ni kauzu zaidi ya dagaa...khaaa...!!!!!....pamoja na kupururwa vidole viwili lakini kagoma kuongea.....!!!....nina hamu ya kujua penny atatumia mbinu gani kumshawishi dr.joshua kusaini hati ya kinga....patamu hapo......ila joshua kwa penny...hatoi hata jino moja ataingua kingi tuu.....
 
Nadhani naomi anataka kufariki.... kumnyegesha mwenzake...???....ngoja penny ajue,ila nitamuona jaji akiri hana kabsaaaaa kama atamnaniuuu naomi....
 
Nimekuja mbio nikajua LEGE kashafanya yake, nimeambulia holaaa!! Basi wacha nikapige misele. Jamani mtanishtua kama mambo yakiwa fresh
 
Dah naomba Jaj asikutwe tu na akifanya Naomi ampotezeee maana ataharibu kaziii inayokaribia kuisha
 
Dah naomba Jaj asikutwe tu na akifanya Naomi ampotezeee maana ataharibu kaziii inayokaribia kuisha
Elibariki namkubali sana. Yaani nilitamani nimtie kofi yule mcharuko maana ataharibu picha nzima. Na muonja asali haachi. Ila miaka minne bila kugegedwa ana haki ya kuitafuta kwa udi na uvumba
 
Back
Top Bottom