Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

LEGE .....i cant wait to see Peniela in my room😛😛😛😛😛😛
 
Sorry,kwanini asifanye elfu tano(5,000) kama kiingilio cha kwenye group kwa maana mtu akishalipia anakuwa added kwenye hilo group na kusoma story yote kuliko iyo 4500 per Season naona ni kubwa mno Sorry lakini ni ushauri tu brother
mkuu unayoyasema watu wanayakimbia na usifikilie ukitoa hiyo pesa basi ndio utasoma hiyo story mwanzo mwisho ukiwa kwenye group hupewi yote kwa mara moja but kwa wiki unaweza ukapewa sehem 2 or 3 so na ada ya group unakuta imewekwa kwa mwezi .ni bora ukanunua yote ili ujikamue kusoma mwanzo mwisho.speed niliyokuwa naenda nayo mm kwa siku si chini ya sehem 5 lkn watu bado mlikuwa mnalalamika je speed ya kwenye group mngeiweza nyie
 
Subirini kitabu ndio jibu la mwisho ningeshangaa km angeimaliza story yote bila mafekeche [emoji12][emoji12]
 
katika zote nilizo wahi kusoma lakni hii ni mwisho hapa ni watu wawili tu wenye uwezo wa kushindana na hii nao ni Joram Kiango na Willy Gamba . Hatahivo kwa utundu wa Anitha inaifanya hii kuwa juu Zaidi.
 
katika zote nilizo wahi kusoma lakni hii ni mwisho hapa ni watu wawili tu wenye uwezo wa kushindana na hii nao ni Joram Kiango na Willy Gamba . Hatahivo kwa utundu wa Anitha inaifanya hii kuwa juu Zaidi.
Anitha kapendezesha story kwa sababu yupo katika kizazi cha digital ambapo huwezi kuzungumzia ujasusi bila kuhusisha udukuzi
 
Wkend inakuja mkuu LEGE kaa mkao kushusha vitu soon.Tumesubiri sana mpaka tumesahau tunahitaji brash ya oblangata
 
Am counting hours to meet ......The one and onlyPenny.LEGE...
 
Back
Top Bottom