Pentagon Yairuhusu Ukraine Kushambulia Kwa "DRONES "Ndani Ya Urusi!

Pentagon Yairuhusu Ukraine Kushambulia Kwa "DRONES "Ndani Ya Urusi!

Hii i vita ya Marekani na Urusi ambayo inapiganwa Ukraine huku mchekeshaji Zelensky akiwa kama mshereheshaji
Mrusi hakupiga mahesabu kuwa yote Ukraine na Russia ni U.S.S.R ya zamani hivyo wanajiua ndugu kwa siraha za mmarekani...

U.S.A ni kushusha mzigo tu....😅😅😅

kuja kushtuka kaka kampasua pua mdogo mtu naye kamtoboa jicho kaka mtu...😅😅😅
 
Mrusi hakupiga mahesabu kuwa yote Ukraine na Russia ni U.S.S.R ya zamani hivyo wanajiua ndugu kwa siraha za mmarekani...

U.S.A ni kushusha mzigo tu....😅😅😅

kuja kushtuka kaka kampasua pua mdogo mtu naye kamtoboa jicho kaka mtu...😅😅😅
Yeah, Marekani hawana hasara. Ndio faida ya kuwa na akili.
 
Hakuna chanzo! Mtambue Urusi ana uwezo kuiangamiza Marekani ndani ya masaa.
 
Ohoooo...... anayepambanisha yeye yuko magharibi ya mbali. Hapa ndio tutaiona rasmi nguvu ya Mrusi.
Baada ya vifo vya askari wengi wa Urusi kutokea na hasara kubwa ya vifaa vya kijeshi tulitegemea kuona nguvu ya Mrusi.Mpaka hapa bado unategemea jipya toka kwa mrusi?Labda atumie nukes kama anavyojinadi🤔
 
Ohoooo...... anayepambanisha yeye yuko magharibi ya mbali. Hapa ndio tutaiona rasmi nguvu ya Mrusi.
Baada ya vifo vya askari wengi wa Urusi kutokea na hasara kubwa ya vifaa vya kijeshi tulitegemea kuona nguvu ya Mrusi.Mpaka hapa bado unategemea jipya toka kwa mrusi?Labda atumie nukes kama anavyojinadi🤔
 
Back
Top Bottom