Melelani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 542
- 536
Unataka kusema USA Naye apelekewe moto siyo!Hii ni sawa kabisa, huwezi kuharibu miundombinu ya nchi nyingine afu wewe hutaki kuvamiwa kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema USA Naye apelekewe moto siyo!Hii ni sawa kabisa, huwezi kuharibu miundombinu ya nchi nyingine afu wewe hutaki kuvamiwa kwako.
US wanaupiga mwingi.Marekani yawapatia Ukraine mifumo ya ulinzi ya kudungua makombora na ndege za kivita[emoji848]
....View attachment 2442523
The United States has provided Ukraine with 'threat emitters' built to replicate surface-to-air missiles and aircraft, and are a cheap, innovative way to further complicate the air picture for russia
U.S. Has Sent Threat-Emitters To Ukraine To Confuse Russian Aircraft | Aviation Week Network
Sharing low-cost emitters with Ukrainian forces is one innovative way to help complicate the air picture for Russia.aviationweek.com
Safi sn Putin apigwe vizuriWAR IN UKRAINE
Pentagon gives Ukraine green light for drone strikes inside Russia
![]()
Pentagon gives Ukraine green light for drone strikes inside Russia
The Pentagon has given a tacit endorsement of Ukraine’s long-range attacks on targets inside Russia after President Putin’s multiple missile strikes against Kwww.thetimes.co.uk
Kabisa apigweSafi sana. Kama Russia badala ya kupigana vita anaharibu miundombinu ni muhimu naye afanyiwe hivyo hivyo. Peleka drones za kutosha zenye akili.
Mrusi ameishaBaada ya vifo vya askari wengi wa Urusi kutokea na hasara kubwa ya vifaa vya kijeshi tulitegemea kuona nguvu ya Mrusi.Mpaka hapa bado unategemea jipya toka kwa mrusi?Labda atumie nukes kama anavyojinadi🤔
Na endapo wakasitisha vita, hii itampa nafasi kubwa mno US kumzingira Russia, hiki ndicho wakihofiacho. Lakini ni bora wasitishe vita ili kujipanga namna gani ya kupambana na adui aliyepo mlangoni kuliko kuendeleza hii vita maana uchumi na ushawishi unashuka kwa kasi kubwa mno.Hakika USA ni hatari sana.
USA ana mikakati mikali ya kuidhoofisha Urus katika vita hii, hakurupuki.
Mwanzo wa vita alikuwa mzito wa kupeleka silaha Ukrain kwa sababu Urus alipiga mkwara mzito na inawezekana Urus alikuwa sirias kwa nchi itakayoisaidia Ukrain. Pia Urus alipiga mkwara wa kutumia Nyuklia.
Baada ya muda, USA akaanza kupeleka silaha Ukrain kwa kubip huku akisoma muitikio wa Urus.
USA akawa anaongeza idadi ya silaha kwa Ukrain huku vita ikizidi kuwa ngumu, lakini USA ikawa haitaki kuipa Ukrain silaha za kushambulia ndani ya Urus.
Wakati vita ikiendelea kuwa kali, USA ikawa inafanya mazungumzo na Urus juu ya kutumia silaha za nyuklia. Hatujui majadiliano yalikuwaje, ila inaonekana USA alimpiga mkwara Urus endapo angetumia silaha za Nyuklia, labda na yeye angeshambuliwa kwa silaha za nyuklia zilizopo Ulaya.
Baadae tukaona Putin anatamka mwenyewe kwamba, hawapo tayari kwa sasa kutumia silaha za nyuklia kwa Ukrain. Ni kipindi hiki ndipo tunaona Ukrain naye anashambulia hadi ndani ya Urus zaidi ya kilomita 600.
Suluhisho ni Putin kusitisha vita, mana akiendelea, Ukrain nayo itaanza kushambulia ndani ya Urus kwan amejihakikikishia Urus hawezi kutumia silaha za maangamizi kwani USA atajibu mashambulizi na ndiyo itakuwa mwisho wa Putin.
Ikumbukwe, kuna tetesi Urus ameishiwa baadhi ya silaha, na kwa sasa anasaidiwa na Iran.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nna uhakika Ukraine ataendelea kupachapa sana Russia.Kwahiyo Putin ndo mwenye haki ya kushambulia nchi nyingine ila yeye ni marufuku?
Vita havina macho hata yeye atashabuliwa tu kama alivyoshambuliwa juzi kwenye kambi zake za kijeshi ndani ya Urusi.
Ama kweli mkuki kwa nguruwe tu kwa binadamu mchungu.
Hii ilikuwa ni dharau nzito.Wajaribu waone? Juzi drones za Ukraine zimeingia kilomita 600 ndani ya Urusi zikashambulia kambi muhimu za kijeshi za Urusi katika mji wa Saratov nakutoka salama kabisa.
ukiwa na nuke huguswi, wala huzingirwiNa endapo wakasitisha vita, hii itampa nafasi kubwa mno US kumzingira Russia, hiki ndicho wakihofiacho. Lakini ni bora wasitishe vita ili kujipanga namna gani ya kupambana na adui aliyepo mlangoni kuliko kuendeleza hii vita maana uchumi na ushawishi unashuka kwa kasi kubwa mno.
Ha ha haSasa hapa Putin huyu marekani anakujaribu anataka kuamsha waliolala, Putin toa hata nukes moja tuiangamize Ukraine, marekani ni nani hadi ampe jeuri dogo ZELE , me ni Mrusi wa Kondoa na mshabiki wako sana ila kiuhalisia marekani amekufatilia sana, nakushauri Putin mtafute marekani ulingoni kwa kupiga bom hata nchi moja ya NATO hapo marekani utampata na ndio sisi warusi wenzako wa Chato na Kilwa tutafurahua shoo utakayo toa kuiadhibu marekani.
Kama ni hivyo, mbona urusi anahaha kupigana vita ngumu Ili kuepuka NATO kusogea karibu yake na kumzingira?ukiwa na nuke huguswi, wala huzingirwi
NK yule pale
Kama kuna mtu anazibeza HIMARS atakuwa ni kichaa.una taka kujua zilipo?
fatilia makao makuu ya wagner gro yaliyopo uko luhansk yalivo geuzwa majivu
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app