Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi Putin aanze kujificha kwenye andaki maana makazi yake yatakuwa target namba Moja,Patamu hapo.Russia na yeye amepata kazi ya kuziwinda drones na kuzidungua[emoji1787]
Watakuona kama unaongea ujinga ila hii ngoma itaenda kutokea.Kremlin kugeuzwa majivu
Jana US katangaza fungu jingine la msaada kwenda Ukraine. Huyu mwamba hapoi, China anajipongeza mno kutoizingua Taiwan.Safi sana. Kama Russia badala ya kupigana vita anaharibu miundombinu ni muhimu naye afanyiwe hivyo hivyo. Peleka drones za kutosha zenye akili.
.Kama Pentagon wanataka kuingiza drones Russia, basi watakuwa wamesaini hati ya kuanza kwa WWIII. Kwa kuwa Russia ata retaliate naye na washirika wake kutuma drones zake kushambulia USASafi sana. Kama Russia badala ya kupigana vita anaharibu miundombinu ni muhimu naye afanyiwe hivyo hivyo. Peleka drones za kutosha zenye akili.
Hakuna taifa lolote litakalojaribu kuishambulia ardhi ya usa.Kama Pentagon wanataka kuingiza drones Russia, basi watakuwa wamesaini hati ya kuanza kwa WWIII. Kwa kuwa Russia ata retaliate naye na washirika wake kutuma drones zake kushambulia USA
Kwa nini sasa Taiwan haitangazi uhuru rasmi au iliishangaza miaka ya nyuma?Jana US katangaza fungu jingine la msaada kwenda Ukraine. Huyu mwamba hapoi, China anajipongeza mno kutoizingua Taiwan.
Mbona Russia keshachapwa sana na vifaa vya kimarekani kupoteza askari laki 1 lakini bado hatujaiona hiyo WW3?Kitu nilichogundua hawa madikteta wa kimashariki wana tambo za kiduanzi vitendo sifuri.Rejea tambo za Putin na Kiduku.Wamagharibi hawana show off za kiduanzi sijui magwaride ya kuonyesha zana za kijeshi,lakini ukizingua wanakupelekea moto mpaka unashangaaš¤.Kama Pentagon wanataka kuingiza drones Russia, basi watakuwa wamesaini hati ya kuanza kwa WWIII. Kwa kuwa Russia ata retaliate naye na washirika wake kutuma drones zake kushambulia USA
Je unaijuwa 9/11? Au umejisahaulishaHakuna taifa lolote litakalojaribu kuishambulia ardhi ya usa
Usigeuze mada sasaTuseme iko hivyo,Askari na vifaru vyote viko salama;Je,Malengo ya Urusi kuichukua Kyiv yamefikia wapi au ndio askari wake kukimbia maeneo ambayo walifanya annexation?
Russia inapigana na NATO ambayo ni USA na washirika 28 or so. Unaweka idadi ya Warusi waliokufa weka na idadi ya NATO and allied forces waiokufa pia. USA iko overated sanaMbona Russia keshachapwa sana na vifaa vya kimarekani kupoteza askari laki 1 lakini bado hatujaiona hiyo WW3?Kitu nilichogundua hawa madikteta wa kimashariki wana tambo za kiduanzi vitendo sifuri.Rejea tambo za Putin na Kiduku.Wamagharibi hawana show off za kiduanzi sijui magwaride ya kuonyesha zana za kijeshi,lakini ukizingua wanakupelekea moto mpaka unashangaaš¤
Mbona unaonekana msomi ila unajitoa ufahamu?Russia inapigana na NATO ambayo ni USA na washirika 28 or so. Unaweka idadi ya Warusi waliokufa weka na idadi ya NATO and allied forces waiokufa pia. USA iko overated sana
Zitaje wewe basi hizo takwimu kwa vile unaonekana mbumbumbu lakini una akili.Mbona unaonekana msomi ila unajitoa ufahamu?
Lini umesikia serikali yoyote ya hayo mataifa tajwa yamepeleka wanajeshi wake Ukraine?
Kutaja idadi ya waliokufa ni jukumu la Urusi
Mkuu ili mtu kuwa ProRussia lazima ajitoe ufahamu hata kama ana PhDMbona unaonekana msomi ila unajitoa ufahamu?
Lini umesikia serikali yoyote ya hayo mataifa tajwa yamepeleka wanajeshi wake Ukraine?
Kutaja idadi ya waliokufa ni jukumu la Urusi
Ndo maana nimempuuzaMkuu ili mtu kuwa ProRussia lazima ajitoe ufahamu hata kama ana PhD
Pole sanaHakuna chanzo! Mtambue Urusi ana uwezo kuiangamiza Marekani ndani ya masaa.
una taka kujua zilipo?HIMARS ziliishia wapi?