Pentagon Yairuhusu Ukraine Kushambulia Kwa "DRONES "Ndani Ya Urusi!

Pentagon Yairuhusu Ukraine Kushambulia Kwa "DRONES "Ndani Ya Urusi!

Baada ya vifo vya askari wengi wa Urusi kutokea na hasara kubwa ya vifaa vya kijeshi tulitegemea kuona nguvu ya Mrusi.Mpaka hapa bado unategemea jipya toka kwa mrusi?Labda atumie nukes kama anavyojinadi🤔
Vifo vingi vipi? Juzi umoja wa Ulaya umetoa idadi na orodha ya askari wa Ukraine 🇺🇦 waliokufa vitani, hadi Ukraine ikakasirika ikawataka mabeberu waombe radhi, mabeberu wakagoma wakasema hatujadanganya
 
Vifo vingi vipi? Juzi umoja wa Ulaya umetoa idadi na orodha ya askari wa Ukraine 🇺🇦 waliokufa vitani, hadi Ukraine ikakasirika ikawataka mabeberu waombe radhi, mabeberu wakagoma wakasema hatujadanganya
Tuseme iko hivyo,Askari na vifaru vyote viko salama;Je,Malengo ya Urusi kuichukua Kyiv yamefikia wapi au ndio askari wake kukimbia maeneo ambayo walifanya annexation?
 
Marekani yawapatia Ukraine mifumo ya ulinzi ya kudungua makombora na ndege za kivita🤔
....
FB_IMG_1670728440233.jpg

The United States has provided Ukraine with 'threat emitters' built to replicate surface-to-air missiles and aircraft, and are a cheap, innovative way to further complicate the air picture for russia
 
Hakika USA ni hatari sana.

USA ana mikakati mikali ya kuidhoofisha Urus katika vita hii, hakurupuki.

Mwanzo wa vita alikuwa mzito wa kupeleka silaha Ukrain kwa sababu Urus alipiga mkwara mzito na inawezekana Urus alikuwa sirias kwa nchi itakayoisaidia Ukrain. Pia Urus alipiga mkwara wa kutumia Nyuklia.

Baada ya muda, USA akaanza kupeleka silaha Ukrain kwa kubip huku akisoma muitikio wa Urus.

USA akawa anaongeza idadi ya silaha kwa Ukrain huku vita ikizidi kuwa ngumu, lakini USA ikawa haitaki kuipa Ukrain silaha za kushambulia ndani ya Urus.

Wakati vita ikiendelea kuwa kali, USA ikawa inafanya mazungumzo na Urus juu ya kutumia silaha za nyuklia. Hatujui majadiliano yalikuwaje, ila inaonekana USA alimpiga mkwara Urus endapo angetumia silaha za Nyuklia, labda na yeye angeshambuliwa kwa silaha za nyuklia zilizopo Ulaya.

Baadae tukaona Putin anatamka mwenyewe kwamba, hawapo tayari kwa sasa kutumia silaha za nyuklia kwa Ukrain. Ni kipindi hiki ndipo tunaona Ukrain naye anashambulia hadi ndani ya Urus zaidi ya kilomita 600.

Suluhisho ni Putin kusitisha vita, mana akiendelea, Ukrain nayo itaanza kushambulia ndani ya Urus kwan amejihakikikishia Urus hawezi kutumia silaha za maangamizi kwani USA atajibu mashambulizi na ndiyo itakuwa mwisho wa Putin.

Ikumbukwe, kuna tetesi Urus ameishiwa baadhi ya silaha, na kwa sasa anasaidiwa na Iran.




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hakika USA ni hatari sana.

USA ana mikakati mikali ya kuidhoofisha Urus katika vita hii, hakurupuki.

Mwanzo wa vita alikuwa mzito wa kupeleka silaha Ukrain kwa sababu Urus alipiga mkwara mzito na inawezekana Urus alikuwa sirias kwa nchi itakayoisaidia Ukrain. Pia Urus alipiga mkwara wa kutumia Nyuklia.

Baada ya muda, USA akaanza kupeleka silaha Ukrain kwa kubip huku akisoma muitikio wa Urus.

USA akawa anaongeza idadi ya silaha kwa Ukrain huku vita ikizidi kuwa ngumu, lakini USA ikawa haitaki kuipa Ukrain silaha za kushambulia ndani ya Urus.

Wakati vita ikiendelea kuwa kali, USA ikawa inafanya mazungumzo na Urus juu ya kutumia silaha za nyuklia. Hatujui majadiliano yalikuwaje, ila inaonekana USA alimpiga mkwara Urus endapo angetumia silaha za Nyuklia, labda na yeye angeshambuliwa kwa silaha za nyuklia zilizopo Ulaya.

Baadae tukaona Putin anatamka mwenyewe kwamba, hawapo tayari kwa sasa kutumia silaha za nyuklia kwa Ukrain. Ni kipindi hiki ndipo tunaona Ukrain naye anashambulia hadi ndani ya Urus zaidi ya kilomita 600.

Suluhisho ni Putin kusitisha vita, mana akiendelea, Ukrain nayo itaanza kushambulia ndani ya Urus kwan amejihakikikishia Urus hawezi kutumia silaha za maangamizi kwani USA atajibu mashambulizi na ndiyo itakuwa mwisho wa Putin.

Ikumbukwe, kuna tetesi Urus ameishiwa baadhi ya silaha, na kwa sasa anasaidiwa na Iran.




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yule fashsti wa urusi Hana akili na alikurupuka sana,Wacha anyooshwe sasa

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Naona usa kaamua ukraine ifutwe kabisa maana uvumilivu utamshinda putin
Kwahiyo Putin ndo mwenye haki ya kushambulia nchi nyingine ila yeye ni marufuku?

Vita havina macho hata yeye atashabuliwa tu kama alivyoshambuliwa juzi kwenye kambi zake za kijeshi ndani ya Urusi.

Ama kweli mkuki kwa nguruwe tu kwa binadamu mchungu.
 
Sasa hapa Putin huyu marekani anakujaribu anataka kuamsha waliolala, Putin toa hata nukes moja tuiangamize Ukraine, marekani ni nani hadi ampe jeuri dogo ZELE , me ni Mrusi wa Kondoa na mshabiki wako sana ila kiuhalisia marekani amekufatilia sana, nakushauri Putin mtafute marekani ulingoni kwa kupiga bom hata nchi moja ya NATO hapo marekani utampata na ndio sisi warusi wenzako wa Chato na Kilwa tutafurahua shoo utakayo toa kuiadhibu marekani.
 
Wajaribu waone? Juzi drones za Ukraine zimeingia kilomita 600 ndani ya Urusi zikashambulia kambi muhimu za kijeshi za Urusi katika mji wa Saratov nakutoka salama kabisa.
Basi watabinuliwa bara bara kama ni kweli. Manake propaganda nazo ni nyingi
 
Sasa hapa Putin huyu marekani anakujaribu anataka kuamsha waliolala, Putin toa hata nukes moja tuiangamize Ukraine, marekani ni nani hadi ampe jeuri dogo ZELE , me ni Mrusi wa Kondoa na mshabiki wako sana ila kiuhalisia marekani amekufatilia sana, nakushauri Putin mtafute marekani ulingoni kwa kupiga bom hata nchi moja ya NATO hapo marekani utampata na ndio sisi warusi wenzako wa Chato na Kilwa tutafurahua shoo utakayo toa kuiadhibu marekani.
Amshe mara ngapi hizo nukes atapiga wenzake wakiwa wamelala? Hebu fikirisha ubongo wako
 
Baada ya Warusi kupelekewa moto ndani ya Ukraine,sasa kisago kinahamia Moscow 🤔
...
Dec.11 update on russian losses in the war
FB_IMG_1670745979117.jpg
 
Baada ya US kumshauri Zelensky afanye mazungumzo ya kusitisha vita na Urusi comedian akatia kiburi sasa Biden kaamua kumuangamiza Zele kwa namna nyingine. Ukraine inaenda kuangamia rasmi
 
kiboko ya drones ni Iran ambaye yuko bega kwa bega na Putin.
 
Back
Top Bottom