Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

Tumia logic je dhambi inafanyeje kazi ...utajua kuwa mwili wa binadamu una siri kubwa sana kwenye dhambi .....hapo utajua yote ninayo kuambia ni kweli
Sina pingamizi na hili kuwa dhambi inafanya kazi kwa namna ya ajabu, lakini hii haimaanishi unapaswa kuihusianisha na gumbo lolote usilolielewa kwenye biblia. Hata hivyo kuhusu dhambi biblia imeweka waz kuwa ni uasi wa sheria.
 
Kiukweli mm sina mgogoro na uhusiano uliopo kati ya ufunuo sura ya 13 na 17, tatizo ni vile unazitafsiri sura hizo bila ushahidi wa biblia yenyewe. We unafikiri kila mmoja akisema anachotaka si watu watachanganyikiwa? Na kwakwel biblia imeonekana kuwa figisu za watu na uongo kwa sababu ya watu tunaokuja na tafsiri zetu wenyewe kufit kile tunachotaka badala ya kuiacha yenyewe ituambie nn imekusudia kusema! Kumbuka mtu yeyote hapaswi kupunguza au kuongeza maneno ya unabii huo (ufunuo 22:18-19)
Ni lini ulijua kuwa hiyo 13 na 17 ni kitu kimoja au ni baada ya kunisikia mimi naeleza ... najua ulikuwa ujui kuwa 13 na 17 ni fumbo moja .....nakusubiri na hizo fafanuzi zako feki nikuumbue bila ya ubishi...wewe unadhani waislamu wanavyo nikimbiaga hapa JF na wanakimbia kunijibu maswali wanapenda .....nayajua mafumbo yote kwenye biblia ..kuhusu kitabu cha Daniel naweza kukuambia kwanini nyayo za lile sanamu alilo ota nebukadreza zilikuwa ni mchanganyiko wa chuma na udongo
 
Sina pingamizi na hili kuwa dhambi inafanya kazi kwa namna ya ajabu, lakini hii haimaanishi unapaswa kuihusianisha na gumbo lolote usilolielewa kwenye biblia. Hata hivyo kuhusu dhambi biblia imeweka waz kuwa ni uasi wa sheria.
Uasi wa shetani ni dhambi yake shetani siyo yako wewe ....wewe dhambi yako ni uasi wako wewe mwenyewe kutokana na tamaa za mwili.
 
Heeee 😧😧Lwiva wacha nikuache, utajifunza kwa namna nyingine
Tena hii injili ninayo kupa ni correct kwa asilimia 100% naweza kukuambia hata maana ya nyoka aliye tajwa kwenye ufunua kuwa zilitoka roho 3 mfano wa chura hizo roho kwanini ni 3 na hizo roho ni nini ? Ukiweza kujua maana ya hizo roho zitokazo kwa joka utaweza lujua kwanini Yesu alijaribiwa jangwani majaribu matatu 3
 
Ni lini ulijua kuwa hiyo 13 na 17 ni kitu kimoja au ni baada ya kunisikia mimi naeleza ... najua ulikuwa ujui kuwa 13 na 17 ni fumbo moja .....nakusubiri na hizo fafanuzi zako feki nikuumbue bila ya ubishi...wewe unadhani waislamu wanavyo nikimbiaga hapa JF na wanakimbia kunijibu maswali wanapenda .....nayajua mafumbo yote kwenye biblia ..kuhusu kitabu cha Daniel naweza kukuambia kwanini nyayo za lile sanamu alilo ota nebukadreza zilikuwa ni mchanganyiko wa chuma na udongo
Vema sana ikiwa unalijua hilo!😀 We unafikir tunaoneshana ubabe wa kufaham maandiko?
 
Heeee 😧😧Lwiva wacha nikuache, utajifunza kwa namna nyingine
Toa fafanuzi zako kuhusu ufunuo ili tukuulize maswali usikimbie kuna jamaa alikimbia na waislamu wanakimbiaga maswali yangu
 
Vema sana ikiwa unalijua hilo!😀 We unafikir tunaoneshana ubabe wa kufaham maandiko?
Wacha porojo toa fafanuzi ya ufunuo tukuulize maswali ...wewe ni shabiki wa dini yako na dhehebu lako ndiyo maana unasikia ukweli ila hautaki kuukili kuwa ni ukweli.....kwa sababu huu ukweli ninaokupa unapingana na madhehebu yako unayo shabikia .....
 
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
umeongea ukweli mtupu!!!,,,YESU alipokuwa anahubiri alikuwa bize na INJILI,hakuwa na mali,nyumba wala mtoto,na wala sijui aliwahi kubadilisha kanzu yake,,,,,YESU alipigika kiuchumi mpaka shetani akaona fursa,,akampandisha kileleni{juu}akamwambia ukinisujudu vitu vyote unavyoviona vitakuwa vyako,lakini YESU alikataa,,,leo hii hawa wanaukwasi wa ajabu,wanamiliki majumba,mpaka ndege!!!,,,hakika wengi wao wataenda motoni!!!
 
Uasi wa shetani ni dhambi yake shetani siyo yako wewe ....wewe dhambi yako ni uasi wako wewe mwenyewe kutokana na tamaa za mwil

Uasi wa shetani ni dhambi yake shetani siyo yako wewe ....wewe dhambi yako ni uasi wako wewe mwenyewe kutokana na tamaa za mwili.
Toa fafanuzi zako kuhusu ufunuo ili tukuulize maswali usikimbie kuna jamaa alikimbia na waislamu wanakimbiaga maswali yangu
Ikiwa kusudi lako ni kuendelea kuthibitisha vile unajua, hautakaa uelewe haijalish utatolewa ufafanuz upi. Biblia hauwez kuiendea na tafsiri zako halaf ikakupatia tafsiri yake, ili kupata kile Kimesemwa huko lazima uende na roho ya mwanafunzi asiyejua kitu!
 
Wacha porojo toa fafanuzi ya ufunuo tukuulize maswali ...wewe ni shabiki wa dini yako na dhehebu lako ndiyo maana unasikia ukweli ila hautaki kuukili kuwani ukweli kwa sababu unapingana na mashehebu yako unayo shabikia .....
Uzuri hata sijataja ikiwa naenda kanisan, achilia mbali kuwa 'shabiki' wa dhehebu lolote!😀
 
Uzuri hata sijataja ikiwa naenda kanisan, achilia mbali kuwa 'shabiki' wa dhehebu lolote!😀
Porojo zanini leta fafanuzi tena ukileta nitawatag wakristo wenzako hapa jf waje kusikia na maswali nitakayo kuuliza
 
Ikiwa kusudi lako ni kuendelea kuthibitisha vile unajua, hautakaa uelewe haijalish utatolewa ufafanuz upi. Biblia hauwez kuiendea na tafsiri zako halaf ikakupatia tafsiri yake, ili kupata kile Kimesemwa huko lazima uende na roho ya mwanafunzi asiyejua kitu!
Porojo porojo ....ujui kuwa unabishana na the great genius of all the time ndiyo maana unaona watu wamekuachia uwanja wakuone namna unavyo weza kutoa hoja zilizo nyooka ...waulize kina kiranga walinikimbia
 
Ujio wa manabii na mitume wapigaji umeharibu sana sura ya upentekoste na tuendako ndo kubaya zaidi Mungu alisaidie kanisa
 
Kiukweli mm sina mgogoro na uhusiano uliopo kati ya ufunuo sura ya 13 na 17, tatizo ni vile unazitafsiri sura hizo bila ushahidi wa biblia yenyewe. We unafikiri kila mmoja akisema anachotaka si watu watachanganyikiwa? Na kwakwel biblia imeonekana kuwa figisu za watu na uongo kwa sababu ya watu tunaokuja na tafsiri zetu wenyewe kufit kile tunachotaka badala ya kuiacha yenyewe ituambie nn imekusudia kusema! Kumbuka mtu yeyote hapaswi kupunguza au kuongeza maneno ya unabii huo (ufunuo 22:18-19)
Leta tafsiri ya ufunuo wa yohana unayo sema wewe ni sahihi nikuonyeshe upuuzi wako kichwani ....tunasubiri .......ukitaka kuijua injili ya kweli niulize mimi ...
 
Kila mtu huweza kwa sehemu. Yeye ameweza kuhubiri kuhusu mafanikio ya kimwili ambayo nayo Ni muhimu pia kwa ustawi wa roho, Sasa wewe hubiri hayo uliyoandika hapo na mwingine atahubiri kuhusu bhangi na sigara na mirungi ambavyo havijaandikwa ktk maandiko matakatifu lkn lengo likiwa Ni ukamilifu.
Yesu alikuja kuhubiri kuhusu mafanikio ya kimwili?
 
Back
Top Bottom