Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Kwamba unakunywa 9lts kwa siku? Hilo nalo ni tatizo mkuu, hizo kidney zako zinapiga mzigo zaidi ya kawaida. Lakini pia unapoteza nutrients nyingi kupitia filtration, 9lts per day, unafanya shughuli gani mkuu?
Ni kweli, maji lita 2 - 3 zinatosha sana kwa binadamu wa kawaida
 
Mimi matumizi yangu makubwa Ni maji, kwa 24 hrs nakunywa 1.5 lt chupa 6 au 7. Kwenda kwa watu lazima nibebe maji kwenye begi. Safarini napata tabu Sana maana nalazimika kutokunywa maji ili kuzuia kukojoa Mara kwa Mara. Je hii nayo Ni addiction?
Ungesubiri ukomae ndio uolewe,unaona Sasa?Ungekomaa kidogo tu,vijeba tungekuoa na usingefanya huo ujinga.
 
Nlipoona headline ikanibidi nicheke .... mkuu tupo pqmoja hata mimi hii ni wiki ya 5 cjaweka daso mdomoni ... majaribu ni mengi kuna mda wife anatenga chakula na soda ila mpaka sasa cjanywa kabisa
 
Nlipoona headline ikanibidi nicheke .... mkuu tupo pqmoja hata mimi hii ni wiki ya 5 cjaweka daso mdomoni ... majaribu ni mengi kuna mda wife anatenga chakula na soda ila mpaka sasa cjanywa kabisa
Hatari sana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni vyema TMDA wakatoa muongozo juu ya unywaji soda kwa kiwango sahihi
 
Mwaka wa tatu huu sijagusa mchepuko Wala mpango wa Kando.
Mwezi wa Saba huu siijui ladha ya beer.
Mwaka wa tatu sijawahi kuingia gesti.
Penye njia Pana Nia.
 
Mwaka wa tatu huu sijagusa mchepuko Wala mpango wa Kando.
Mwezi wa Saba huu siijui ladha ya beer.
Mwaka wa tatu sijawahi kuingia gesti.
Penye njia Pana Nia.
Tuendelee kujidhatiti, haya yote ni maamuzi tu, wacha tukaze tu.., tangu nimaemua kujicontrol hivyo vitu, japo naumia moyoni, ila najiona mtu bora zaidi, free of Soda, free of alcohol, bado hapo kwenye mchepuko ndio napambania..
 
Hongera mkuu.Soda zina sumu nyingi ikiwepo Cocaine na Caffeine ambazo ni addictive.Wanasema siku hizi Cocaine haipo lakini si kweli,ndio maana soda
zinakuwa vigumu kuacha kunywa.Mimi sikumbuki lini niliacha kunywa soda,ni siku nyingi sana.
 
Daaah, jamani jamani.... hii sio poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…