Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Hapo kwenye meno ndo majanga yanayonikuta sasa. nimepitia changamoto mbili , moja mie ni mgonjwa wa pumu, nimetumia sana aminophylline ambazo nazo zinaharibu sana meno, pili at time nilikuwa heavy user wa coca cola, kama unachosema ni sahihi basi meno yangu yamepata bahati mbaya ya kutosha!!!
Yani meno yanafanya kumomonyoka kama ubuyu, kuna muda naweza kula nikatafuna kitu kigumu ,nikahisi ni jiwe au mchanga ,kumbe ni kipande cha jino langu.
 
Kweli mjini! mna raha sana!! yaani kunywa soda?? mtu unawazaaaa! eti kuacha! huku kwetu kwa mara ya pili tulikunywa Fanta Nyerere alipo kufa! coke ni ya mwenyekiti na jopo lake! na siku ya kwanza! ilikuwa ccm ilipo timiza miaka kumi utawalani baaasi!!

zile chupa za fanta! tuna tumia kuwekea mapambo!! kwenye nyumba zetu! au mfukoni halafu inachomoza kwa juu hivi! ili uonekane wa kisasa zaidi!
 
Hongera mimi nina mwaka wa 5 Sasa sili chipsi kabisa. Ukiamua inawezekana. Sasa naanza na hilo la soda.
Chips kabisa?? Mi naishia kuzibadilisha mapishi tu ila kuacha bado sijaweza

Soda ndio nimefanikiwa kupunguza sana kunywa, naweza kukaa mwezi bila kunywa! Kifupi nimekuwa nikinywa ikibidi tu
 
Chips kabisa?? Mi naishia kuzibadilisha mapishi tu ila kuacha bado sijaweza

Soda ndio nimefanikiwa kupunguza sana kunywa, naweza kukaa mwezi bila kunywa! Kifupi nimekuwa nikinywa ikibidi tu
Chipsi ni mbaya mkuu zina mafuta mengi. Na mafuta hayo mengi sio mazuri. Fikiria pia juu ya hilo ndugu. Ila kwa soda nakupongeza.
 
Wiki 5 ni wastani wa siku 35, kama ulifanikiwa siku 35 hupaswi kusema unapata tabu unavumilia tu, kubadilisha tabia ni siku 21 tu ndugu yangu, tabu uliipata zaidi wiki ya kwanza,
 
Chipsi ni mbaya mkuu zina mafuta mengi. Na mafuta hayo mengi sio mazuri. Fikiria pia juu ya hilo ndugu. Ila kwa soda nakupongeza.
Sio chips zote zina mafuta mkuu, naona kuwa tatizo linaweza kuwa mapishi zaidi kuliko chips zenyewe
Mfano ukichomea kwenye air frier mafuta kijiko kidogo tu yanaivisha chips za kula hata watu wanne!
 
Ni mwaka wa 4 tangu niache soda, energy drinks and the likes ila sasa naona mbadala wake nimepeleka kwenye juice ambako nako natakiwa kushinda
 
Hizo sababu ulizo zitaja, sababu moja wapo ndiyo ilinifanya niache pombe kwa kushitukiza ghafla sana bila maandalizi!

Ni miaka 30 sasa, hata kumbu kumbu ishatoweka.

Ila hapo mwanzoni, ndoto za kuota nimekunywa ziliniandama sana, lakini nikapiga moyo konde na kuuheshimu uamzi wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwaka wa 4 tangu niache soda, energy drinks and the likes ila sasa naona mbadala wake nimepeleka kwenye juice ambako nako natakiwa kushinda
Kunywa natural juice za matunda halisi
 
Reactions: Zvi
Sio chips zote zina mafuta mkuu, naona kuna tatizo linaweza kuwa mapishi na sio chips zenyewe
Mfano ukichomea kwenye air frier mafuta kijiko kidogo tu yanaivisha chips za kula hata watu wanne!
Ahsante kwa taarifa mkuu ntazijaribu hizo.
 
Acheni kufananisha punyeto na vitu vya kijinga nyie! mademu wenyewe wanatukoma huo ujeuri wetu tukitoka piga nyeto!
Mademu lazima waandamane ili mkatwe mikono hiyo! Au muwekewe kamera kwa lazima ukipiga tu mada kesi unaua watoto wangapi hapo?? kufanya punyeto ni mauaji ya halaiki mkomege!!! me mnaua sana kuliko ke!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…