Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Hongera sana. Mimi hata sikumbuki nimekunywa soda mara ya mwisho lini? Na nimezoea naona kawaida tu. Ukiamua inawezekana.
 
Huku kijijini kwetu karibu na Ifakara soda zimeadimika inakimbilia wiki ya pili sasa, sijajua tatizo ni nini kwa haya makampuni yetu. Kama yupo yoyote anajua basi atujuze!
 
Huku kijijini kwetu karibu na Ifakara soda zimeadimika inakimbilia wiki ya pili sasa, sijajua tatizo ni nini kwa haya makampuni yetu. Kama yupo yoyote anajua basi atujuze!
πŸ˜‚πŸ˜‚, sumu hizo achananeni nazo
 
Qmmko
 

Kazi ipo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…