Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

IMG_8485.jpg

Mnyama huyo kaganda[emoji39]
 
Hata hizo unakuwa ujapunguza risk, hizo zote ni kemikali. Yale yale unakuta mtu eti soda anywi ila anavuta sigara.
Sigara ni hatari sana...

Chemicals in Every Puff of Cigarette Smoke​

How many harmful and potentially harmful chemicals are in a cigarette? Is there more than nicotine and tar?

Fact:
There are more than 7,000 chemicals in cigarette smoke.2More than 70 of those chemicals are linked to cancer.
 
 
Yaani hili jamaa limepania kutumaliza kabisa, hii kitu ni addictive kama cocaine, yaani anauza chuoa bilioni 1 kwa mwaka, na anategemea kuanza kuuza chupa bilioni karibu 4 baada ya miaka mitatu.., maana yake atawafanya wanywaji wawe addicted na kunywa zaidi na zaidi hizo sumu, daah...

 
 
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.

Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.

===============================


===============================
Update: 09/11/2021



==========================
Update: 05/02/2023


___________________________

Hiyo kila mtu anweza wala haihitaji kufungua uzi.

Kuna mkulungwa humu aliadhimisha miaka miwili bila kufanya uzinzi.

Kuacha uzinzi ndio tukupe pongezi.
 
 
 
 
 
Na mimi ningeacha ila kila nikiona mirinda nyeupe kwenye friji akili inaruka
 
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.

Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.

===============================


===============================
Update: 09/11/2021



==========================
Update: 05/02/2023


___________________________



Bado hujasema,tulia kama mwaka hivi.
 
Back
Top Bottom