Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
ngoja nikwambie kwanini wasomi wa tz hawawezi kujiajiri hata kama mtaji anao
1.professionals are not risk taker.ili ujiajiri inabidi ujue kuna kupata na kukosa hakuna biashara ni riskfree.sasa msomi anachukua mkopo bank mil.20 mfano lakini akifikiria kwamba anaweza kufanya biashara zikakwama anaona bora anunue verossa tu.
2.wasomi sio wabana matumizi wakati ili ufanikiwe kibiashara sheria namba moja ni increase revenue while decrease expenses.sasa msomi anapata mshahara mil.2 lakini tarehe 20 umeshaisha
3.wasomi hawasevu hela
kama usevu sahau kujiajiri maana hakuna kitu anachokipenda mwajiri kama aliyemuajiri asevu hela maana anajua utaendelea kumtegemea yeye tu.ndio maana haitatokea maaskari wakalipwa mshahara mkubwa hata siku moja maana wanaamini hakuna mtu atakayekubali kumlinda mwanadamu mwenzie wakati anaweza kujiajiri.
Sasa kama wewe unataka kujiajiri kama mimi zingatia haya
nakukosoa tena
hatusomi kwa lengo la kuwa matajiri