Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Hahahahahaaha kote kote tupooookumbe siku hizi umeamia huku kupata umbea wa masupastaa hahahahaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaha kote kote tupooookumbe siku hizi umeamia huku kupata umbea wa masupastaa hahahahaaaaaa
[emoji12] [emoji12]Kajala alikua mzuri sana
Sema kajala sasa hivi katulia mnoo
Enzi zake huyuuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hivi ile kodi ya pango alilolipiwa na Seki mbezi halijaisha tuuu?... Ila wanajua kuyakamua madanga yao makodi ya mamiaka, kama wema nasikia CK alimlipia kodi ya 5yrs[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]...kalulu juzi kalipita mtaani kwetu na maza ake kanasukuma HARRIER HYBRID...Aliuza maana ndugu waliikomalia sema alikua full documented .
Kuogopa lawama ndo akaipiga bei fasta....!!
Kodi majizzo kaiendeleza kumbe nini....!!Hivi ile kodi ya pango alilolipiwa na Seki mbezi halijaisha tuuu?... Ila wanajua kuyakamua madanga yao makodi ya mamiaka, kama wema nasikia CK alimlipia kodi ya 5yrs[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]...kalulu juzi kalipita mtaani kwetu na maza ake kanasukuma HARRIER HYBRID...
Unaeza kuta Seki alilipa kodi hata ya miaka kumi, landlords wa mbezi si ndo zao, ili mradi una midolari...ila wale kwa kupiga ulabu ni nyokoo, maza ake ni mwishoo, anapenda sana maji ya mende[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]Kodi majizzo kaiendeleza kumbe nini....!!
Maisha mazuri dogo anajua kutumia vzr urithi wa bb!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unaeza kuta Seki alilipa kodi hata ya miaka kumi, landlords wa mbezi si ndo zao, ili mradi una midolari...ila wale kwa kupiga ulabu ni nyokoo, maza ake ni mwishoo, anapenda sana maji ya mende[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
[emoji12] [emoji12] ...vile Seki alivyozima, lulu alikuwa hana danga la maana! Maza ake zile toyo alizipiga bei nasikia zilikuwa 8, akaenda weka heshima bar![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
mama mhaya naskia mlevi mbwaaa....
kipindi anakaa kimara b mkubwa, dogo yuko mbezi na bosi Seki
Mama alinnuliwa bodaboda Ila pesa yote kitu cha ulabu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji12] [emoji12] ...vile Seki alivyozima, lulu alikuwa hana danga la maana! Maza ake zile toyo alizipiga bei nasikia zilikuwa 8, akaenda weka heshima bar!
Haaaa haaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] ....Elizabeth Michael akipita hapa akakutana na geniveros lazima ajikanumba....si kwa kichambo hiki....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yule mama hamnazo kabisa
Mungu nilinde na kizazi changu naskia enzi zake anaenda na bar na lulu halafu anaanza kujisifu mwanangu mzuri Mimi...mwanangu atanletea pesa
So vyote vile mama ndo msingi mkuu!
Alivyokufa Seki nahis alirudi tena kwa Sangoma ktkt dira ya Sangoma kikoo kikasoma majizoo
ndo hamisa alipoachwa hapa na mtoto mdogooo...
Ila majizzo Mungu anamuona Muache àtombewe si ananyakua majini Maimuna yy mwenyewe!!
Anachamba yule mtoto Mange mwanafunzi pale.Haaaa haaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] ....Elizabeth Michael akipita hapa akakutana na geniveros lazima ajikanumba....si kwa kichambo hiki....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haaaa haaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] ....Elizabeth Michael akipita hapa akakutana na geniveros lazima ajikanumba....si kwa kichambo hiki....
Haaaa haaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] ....Elizabeth Michael akipita hapa akakutana na geniveros lazima ajikanumba....si kwa kichambo hiki....
Kana mdomo hatareee, ila kwa gen. Angeomba poooo[emoji16] [emoji16]Anachamba yule mtoto Mange mwanafunzi pale.
Hawamjui hawa lulu!!Anachamba yule mtoto Mange mwanafunzi pale.
Haa haa haa gen usikimbie...hivi we team Tanzania sweetheart?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanamuonea Wema kila siku Dada wa watu!
Leo zamu yake!!
Kufa hafi cha moto anakiona!!
Nyani haogopi mishale....
ngoja ni[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kana mdomo hatareee, ila kwa gen. Angeomba poooo[emoji16] [emoji16]
Wakati wa msiba wa Mheshimiwa Komba aliwachamba waliompa pole mjane mpaka walisema pooh.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aahh wapi?!!
Dogo mwisho wa matatizo yule!!
Anakuchamba kisturi yuleeee....
Mpk unakua mfupi kama yy!
Hahaaa!haya nipo mine!!Haa haa haa gen usikimbie...hivi we team Tanzania sweetheart?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakumbukaga mine!Wakati wa msiba wa Mheshimiwa Komba aliwachamba waliompa pole mjane mpaka walisema pooh.
[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]Hahaaa!haya nipo mine!!
Nampenda wema kwa kua ananga'ata na kupuliza
Sometimes yes sometimes noo
Ila akizingua anakula kubwa