Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikai south africanadhani anamaanisha kama ni cheap mbona we huna?[emoji87]
Omotola dahhhhMond bin laden endelea kutuwakilisha vizuri kimataifa,sasa hamia Nigeria,tunamtaka Omotola au Genevieve
Mkuu bila shaka nawe ni miongoni mwa wanaolikubali lile Toto,wanaomlaumu Idris kwa kumaliza mpunga kwa totoz wanatakiwa wajitafakari uanaume wao!Omotola dahhhh
nadhani africa nzima hakuna kama Omotola
akiliomotola omotola
lile lanyumbulika kwelkwel
[emoji23] [emoji23]
haswaaaaaaaaaMkuu bila shaka nawe ni miongoni mwa wanaolikubali lile Toto,wanaomlaumu Idris kwa kumaliza mpunga kwa totoz wanatakiwa wajitafakari uanaume wao!
alishakupitia[emoji35]yule jamaa hapitwi na sket
Davido nadn ya miaka miwili kazalisha wanawake wawili tofauti huw siyo umalaya au kunya anye kuku akinya bata kaharishayaaani sijui ni ushamba au nini .kuna watu kama p square ,kina davido,wizkid ,tecno ni waafrica wana hela kumzidi yeye ila hutowaskia na skendo za ngono ovyo kama huyu wa kwetu .nadhani ni too much sasa inamuaibisha.hata kama ni uanaume hii ni too much
Hana uwo uwezo dbanj mwenyewe alichemshaMond bin laden endelea kutuwakilisha vizuri kimataifa,sasa hamia Nigeria,tunamtaka Omotola au Genevieve
Mapenzi ya watu na life la watu watu tunalikomalia.
Well, hata hivyo ni njia nzuri ya kupitisha wakati
That is a lack of respectNguvu ya papuchi achana nayo.
Kama papuchi zinakuja kwenye njia yako, wewe ni nani hadi uzikatae?
Tafuna tu hamna namna.
Mimi mwenyewe nina mke but juzi kati beki tatu iliniletea papuchi yake na nikaitafuna bila wasi wasi.
Yaani papuchi ni tamu acha tu. Haikinaishi dadadeq.
Ni kweli kabisa yeye mwenyewe babazake kama 20 anawajua pale Tandale....Makuzi na malezi..