Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
HUYO NDIYO MWANAMKE NINAYEMJUA AKISHAONJA NJE UJUE HAJAANZA KWA BAHATI MBAYA NA UKITAKA KUMZUIA YUPO TAYARI KUFANYA LOLOTE HATA KUKUTOA UHAI ILI TU UMUACHE AU HATA KUKWAMBIA HAWA WATOTO SIYO WAKO ILI TU UGADHABIKE TU UMPE NAFASI.I moved on to save my life and I am okay thanks to God! But surely it was a tunnel that was about to take my life!
Wanawake waache walivyo; Imagine unagundua situation anakuwekea Mazingira ufanye kosa aombe devorce anafail hapo anaamua kukutilia sumu ufe.
Unahitaji neema ya Mungu kujua kwamba Anguko la wanaume wengi Ni mwanamke!
Ukijua Hilo you let it Go!
Mwanamke akishaonjwa na mtu mwingine lazima afanye comparison, your weaknesses become weapons against you!
[emoji2][emoji2][emoji23]Nimeamini huwezi kumridhisha mwanamke hata siku moja. Kuna siku demu wangu aliniletea pigo za eti sina six pack kama utani lakini nilijua alikuw akimaanisha tu. Hawa viumbe sio wa kuwapa kipaumbele
Wamepaniki na wao ndio vinara hiyo sekta.Wanaume wamepaniki balaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nyie kuchitiwa kunauma pande zote Jamani iwe ke or me
Mijinga kweli yani.LIshangazi leny watoto wanne limedat na penzi la kijana aisee [emoji1][emoji1][emoji1]
Naunga mkono hoja.Ni tatizo hivi.Siviamini vidada ambavyo Kila baada ya sentensi vinaingizia maneno ya kiingereza.
Muache tu jamaa yetu ,uende kwa kijana wako
[emoji419]KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI WIZI
NDOA NI BIASHARA YA UTUMWA
KATAA NDOA
🤣🤣🤣Mijinga kweli yani.
Wala usiwe na wasiwasi we uko vizuri kabisa, wanawake huwa hawawezi kukaa na wanaume wema, wenyewe wanasema "wanaume walipoa, hawana tantrums",Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.
Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you
NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Niseme tu kuwa wewe umeharibika,,Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.
Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you
NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Wanawake ndio wako hivyo, huwa hawawezi kukaa na wanaume wa namna hiyo kwa amani , it is their nature, na research zihakikisha Hilo. Wanawake wanapenda drama.""My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo""
Ila nyie wanawake.
Kwa mwili huu, Mume ni Plus 40 Tena mid 40s, na mke yupo kati ya 35 na 45. huu ndio umri wa wanawake wengi kuachika kutokana na kuzamia katika mapenzi ya nje, na wanaume kucontrate na majukumu ya familia ambayo kipindi hiki yanakuwa katika peak.Ampeleke gym wakamtwishe vyuma kg 20 atatoka huko na veins kila kona.
Wanawake tuishi nao kwa akiliNadhani nimeeleweka [emoji4]View attachment 2584160
Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu.
………My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi.
……..is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good…….
angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea