Swala la Kuambiwa mtoto sio wako niliambiwa. Na nikamuuliza na akamaintainHUYO NDIYO M
HUYO NDIYO MWANAMKE NINAYEMJUA AKISHAONJA NJE UJUE HAJAANZA KWA BAHATI MBAYA NA UKITAKA KUMZUIA YUPO TAYARI KUFANYA LOLOTE HATA KUKUTOA UHAI ILI TU UMUACHE AU HATA KUKWAMBIA HAWA WATOTO SIYO WAKO ILI TU UGADHABIKE TU UMPE NAFASI.
POLE MWAMBA THAT IS LIFE
Si rahisi kupokea ikiwa unampenda Sana mke wako!Muambie mumeo ukweli hujisikii tena ili atafute mwanamke atakaekuwa na hisia nae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaahMwekee sumu mumeo afe ili ufaidi penzi la kijana.
Niamini mimi utakuwa na furaha kuliko mwanamke yoyote hapa Duniani
Bora usemee wee dear.Wanaume wamepaniki balaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nyie kuchitiwa kunauma pande zote Jamani iwe ke or me
Mambo ni shaghalabhagalaHapo mke anaweza hata akashauriwa,amuwekee sumu mumewe,afe,abaki na huyo kijana.Kwanini kujiingiza kwenye kifungo kama hicho?Wadada oleweni na wanaume mnaowapenda,hatakama hawana kitu,tatizo mkifanya hivyo,mrachepuka kwa wenye hela.
Ndoa ni ngumu sana.
Kabisaa, ili naye abaki na kijana wake.Muambie mumeo ukweli hujisikii tena ili atafute mwanamke atakaekuwa na hisia nae
magunia mawili au tatu ya mkaaMwanamke anae cheat adhabu yake ni............. tu
Yana **** zuri haya siku jaribu na hua yanajua yanafanya nn yawapo venue fulani kujitumaLIshangazi leny watoto wanne limedat na penzi la kijana aisee [emoji1][emoji1][emoji1]
Oyaaa umpe ushauri wa mizagamuo Yako ili atulize[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
"Heart wants, what heart wants"Oyaaa umpe ushauri wa mizagamuo Yako ili atulize
Kuna vitu Ni Natural Laws, since time in history kutoka kwa binadamu mpaka wanyama hakuna me ilihoumbiwa ke moja!Bora usemee wee dear.
""My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo""
Ila nyie wanawake.