Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Enjoy mkuu...n wakati wakoNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Wewee.. π π€£Unalolishindwa ww kwa wengine linawezekana , acheni wivu
Msiishi kwa kukariri maisha, mkuuWewee.. [emoji28][emoji1787]
Utakufaa
Wewee ..!! BwanamdogooMsiishi kwa kukariri maisha, mkuu
Kujiamin lazima yakikukuta una lia huku unamove on kama ambulance [emoji1787][emoji1787]Bado ujafikia kipindi cha mtihani...,?? Mbona unajiamini hivo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena wee unaonekana unaliaga zaidi ya ambulance πππππ ... Au bado hayo ujapitia π€£π€£π€π€Kujiamin lazima yakikukuta una lia huku unamove on kama ambulance [emoji1787][emoji1787]
Wacha wee,umetuandikia na kutoka!Kut 20:8-11
Sisi tumekaa palee!Mtaachana tu.
π€£π€£π€£π€£Wacha wee,umetuandikia na kutoka!
Wa pili wewe kusemamtachana tuπ
Wivu huoπ€£π€£π€£π€£Sisi tumekaa palee!
Subiri Dawa imkoleeWivu huoπ€£π€£π€£π€£
uhakikaSisi tumekaa palee!
Daaah aiseee wee mtu wangapi umeandika ""mtaachana"" yaan mmemwamulia kweli π€£π€£π€£Subiri Dawa imkolee
Una sapport...π€£π€£ππuhakika