Oa kwanza broo kisha uje baada ya miaka mitatu na ripoti ya penzi😂 itapendeza ukiwa umefukuzwa kazi.Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trench, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Oa kwanza broo kisha uje baada ya miaka mitatu na ripoti ya penzi[emoji23] itapendeza ukiwa umefukuzwa kazi.
Hahahahah ni ngumu mtu mwenye wadhifa kukosa penzi tamu toka kwa mwanamke ambaye kila anachotaka anapewa kwa wakatiAtakapofukuzwa kazi ndipo hapo atazitambua rangi halisi za bidada wake [emoji14][emoji14]
Kwenye cheers [emoji1635] Cheers [emoji482] na raha huwezi mjua mtu halisi [emoji14]
Kwenye mitihani na misukosuko ndipo uhalisia wa moyo na akili ya mtu hudhihirika.
Weweee!! Wenye mahaba ya kweli tupo, hatuyumbishwi na chochote🤣🤣🤣Oa kwanza broo kisha uje baada ya miaka mitatu na ripoti ya penzi😂 itapendeza ukiwa umefukuzwa kazi.
SijawahiWewe umeachika mara ngapi?
Labda kama sio bongo hiiWeweee!! Wenye mahaba ya kweli tupo, hatuyumbishwi na chochote🤣🤣🤣
Mnapaswa kujua tu kwamba wakati mnaoneshana mahaba shetani anawa zoom tu. Yuko kazini md wote 😂[/QUOTE]Hongera mkuu, love is a beautiful thing. Hata mimi miezi mitatu iliyopita nilikua kama wewe wakaturoga [emoji17]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hio inaitwa "Mobili bakulu" yani kipigo cha mbwa kachokaHongera,Mimi mwenzio yalikuwa matamu mpaka yakanipa kisukari na bado akaniacha na maradhi akaondoka zake.🤣🤣🤣
Sio ndoigeHio inaitwa "Mobili bakulu" yani kipigo cha mbwa kachoka
Love grows and dies like grassShida sometimes mapenz yanakujaga kuanza kudrop gradually. Hata mm nilifikia level zaidi ya hiyo ila sasa nahisi nipo pahala pasipojulikana
Mkuu, em kanawe uso na maji ya baridi kwanza kisha urudi hapa urudie post uliyoiandikaIt is almost 5 years now, at first ilikua kawaida, but the more the time we are together the more we love deeply
Bongo hii hii yaani.Hp
Labda kama sio bongo hii
Ukiacha uchawi ulioandika paragraph ya kwanza, mengine yote uko sahihi,Atakapofukuzwa kazi ndipo hapo atazitambua rangi halisi za bidada wake [emoji14][emoji14]
Kwenye cheers [emoji1635] Cheers [emoji482] na raha huwezi mjua mtu halisi [emoji14]
Kwenye mitihani na misukosuko ndipo uhalisia wa moyo na akili ya mtu hudhihirika.
[/QUOTE]Uzuri kauli mbiu ni ile ile kata mti panda mti. Hatukomoi shetani anatutikisa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji1787]Mnapaswa kujua tu kwamba wakati mnaoneshana mahaba shetani anawa zoom tu. Yuko kazini md wote [emoji23]
Ntakuwa wa mwisho kuamini katika hiloBongo hii hii yaani.
Kwahiyo unakutana na majambazi tu 🤣🤣🤣Ntakuwa wa mwisho kuamini katika hilo